Balozi Hamis Kagasheki amemaanisha nini kwenye ujumbe huu?

Balozi Hamis Kagasheki amemaanisha nini kwenye ujumbe huu?

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Soma ujumbe huu wa Mheshimiwa Balozi Hamis Kagasheki useme alimaanisha nini.soma kwa kutulia na ujibu baada ya kutafakari na kuelewa na siyo ukimbie mbiombio kujibu tu
Screenshot_20240914-130543_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Soma ujumbe huu wa Mheshimiwa Balozi Hamis Kagasheki useme alimaanisha nini.soma kaa kutulia na ujibu baada ya kutafakari na kuelewa na siyo ukimbie mbiombio kujibu tuView attachment 3095600

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mtengeneza majeneza ndio ana maombi mabaya zaidi😆😆
 
Ana manisha katika maisha kila jambo lina faida na hasara yake ni jinsi wew utakavyo chukulia mfano wew ni chawa unaye jipendekeza kwa watawala ili walau uambulie ka uteuzi sisi wwngine tunakuona wew ni boya unafanya kazi ya kifala
 
Kagasheki na Wassira ni Jirani Zangu 😂😂😂

Tumegonga sana BIA enzi za Leecars

Hii watanielewa watu wa Namanga msasani tu labda na akina Joh Makini, Mpoto na Producer Dunga 😀😀
Ulanzi ndio bia siku hizi?😀😀😀
 
Back
Top Bottom