Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Mtengeneza majeneza ndio ana maombi mabaya zaidiππNdugu zangu Watanzania,
Soma ujumbe huu wa Mheshimiwa Balozi Hamis Kagasheki useme alimaanisha nini.soma kaa kutulia na ujibu baada ya kutafakari na kuelewa na siyo ukimbie mbiombio kujibu tuView attachment 3095600
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Waendelee kukuibia....Anamaanisha;
10. CCM inatarajia uwe mpumbavu usiejielewa
Wewe muongo sana mzee John.huyo ni jirani yako wa wapiππππ
Muungwana sana huyu jirani yangu
Nimecheka sana ujumbe wako huuπππAnamaanisha;
10. CCM inatarajia uwe mpumbavu usiejielewa
πππ CCM ndio tumaini la watanzaniaKauli mbinu mpya ya wezi kuomba kuchaguliwa tena, mboga mboga wamejaa dharau sana
Namanga ππππWewe muongo sana mzee John.huyo ni jirani yako wa wapiπππ
Huyu Balozi anataka kuwavunja mbavu watu kwa vicheko.yaani mtengeneza majeneza hafai kabisa.Mtengeneza majeneza ndio ana maombi mabaya zaidiππ
CCM ni chama cha amani na upendoHii hapa lukasi
Labda zizi la ng'ombeNamanga ππππ
Sijui kama unapajua ππππ
Muulize Mwenyewe πππ9. MWIZI.... ni nani?
Kagasheki na Wassira ni Jirani Zangu πππLabda zizi la ng'ombe
Ulanzi ndio bia siku hizi?πππKagasheki na Wassira ni Jirani Zangu πππ
Tumegonga sana BIA enzi za Leecars
Hii watanielewa watu wa Namanga msasani tu labda na akina Joh Makini, Mpoto na Producer Dunga ππ