Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
isee ila mambo mengin ni kuachana nayo tu..Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia, Ali Jabir amesema zaidi ya Watanzania 900 mwaka huu wamepata fursa ya kwenda kufanya kazi nchini Saudi Arabia kupitia utaratibu rasmi.
Haya ni matuna ya diplomasia iliyojengwa na Rais Samia Suluhu.
Watanzania si ndo sisi wenyewe tunaosoma huu uzi. Hao 900 walitaarifiwa vipi na taratibu zipi.Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia, Ali Jabir amesema zaidi ya Watanzania 900 mwaka huu wamepata fursa ya kwenda kufanya kazi nchini Saudi Arabia kupitia utaratibu rasmi.
Haya ni matuna ya diplomasia iliyojengwa na Rais Samia Suluhu.
ukipata komment 10 kabla ya saa tisa alasiri niite mbwa nakaa pale!!!.. NakusubiriBalozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia, Ali Jabir amesema zaidi ya Watanzania 900 mwaka huu wamepata fursa ya kwenda kufanya kazi nchini Saudi Arabia kupitia utaratibu rasmi.
Haya ni matuna ya diplomasia iliyojengwa na Rais Samia Suluhu.
101% watakuwa Wazanzibar.Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia, Ali Jabir amesema zaidi ya Watanzania 900 mwaka huu wamepata fursa ya kwenda kufanya kazi nchini Saudi Arabia kupitia utaratibu rasmi.
Haya ni matuna ya diplomasia iliyojengwa na Rais Samia Suluhu.
Watakuwa ni watanzania ZanzibarWatanzania si ndo sisi wenyewe tunaosoma huu uzi. Hao 900 walitaarifiwa vipi na taratibu zipi.
Kikubwa ujumbe ufike bro punguza makasilikoukipata komment 10 kabla ya saa tisa alasiri niite mbwa nakaa pale!!!.. Nakusubiri
Leo unaziita ajira ila baada ya mwaka mtaanza kututupia mitandaoni picha za ma housegirl wanao nyanyaswa kingono kwa kubakwa na familia za waarabu.Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia, Ali Jabir amesema zaidi ya Watanzania 900 mwaka huu wamepata fursa ya kwenda kufanya kazi nchini Saudi Arabia kupitia utaratibu rasmi.
Haya ni matuna ya diplomasia iliyojengwa na Rais Samia Suluhu.
🤣😀Haya ni matuna ya diplomasia iliyojengwa na Rais Samia Suluhu
We mbwa njoo hukuukipata komment 10 kabla ya saa tisa alasiri niite mbwa nakaa pale!!!.. Nakusubiri
Hawa ndio wale wadada wa kazi wanaobakwa na kudhalilishwa au unamaanisha nini ?Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia, Ali Jabir amesema zaidi ya Watanzania 900 mwaka huu wamepata fursa ya kwenda kufanya kazi nchini Saudi Arabia kupitia utaratibu rasmi.
Haya ni matuna ya diplomasia iliyojengwa na Rais Samia Suluhu.
Hata uko mama atafanikisha tu maana anaendelea kuimarisha diplomasia katika mataifa mbali mbaliisee ila mambo mengin ni kuachana nayo tu..
wakitangaza za canada na europe mnishtue..
Hakuna kitu kama icho mkuu hapa unaenda ikiwa serikali yako inajua kwaiyo mambo kama hayo hayapo then sio kazi za beki tatu zinazoongelewa hapa hizi ni kazi professionalHawa ndio wale wadada wa kazi wanaobakwa na kudhalilishwa au unamaanisha nini ?
hahhahahWe mbwa njoo huku
Inatakiwa uwe unafatilia habari mkuu ukiona tu chance unaruka nayoWatanzania si ndo sisi wenyewe tunaosoma huu uzi. Hao 900 walitaarifiwa vipi na taratibu zipi.
Rais Samia Suluhu amefanikisha wale sasa ni kama ndugu zetu na sio kazi za ndani wanaenda kufanya kazi professionalWatarudi na kanzu na nikabu tu umaskini watarudi nao
Sio kufanya kazi za ndani tu kuna kazi proffesional kwaiyo usikaliliLeo unaziita ajira ila baada ya mwaka mtaanza kututupia mitandaoni picha za ma housegirl wanao nyanyaswa kingono kwa kubakwa na familia za waarabu.
Be careful na hizo mnazoita ajira, ni human trafficking tu