Balozi Jabir: Watanzania 900 wapata ajira Saudi Arabia

Balozi Jabir: Watanzania 900 wapata ajira Saudi Arabia

Makampuni kama Barrick na Byanecut offshore yana experience na Watanzania na sio waumini wakuajili wahindi na waphilipino bali hupenda WaAfrica zaidi, Byanecut offshore ni australian company ambao wamefanya kazi Buly na Northmara na kuajili watanzania kadhaa Saudia kwenye mgodi wa Barrick na kiwango cha maminer ndio kimevutia makampuni kadhaa ya Saudia kwenye migodi ya gold, nickel na phosphate kuvutiwa na kuajili wabongo.

Huwezi kuajili Australians, Canadians, Southafricans kwa $4000 - $5000 baadala yake makampuni mengi yameopt miners kutoka Ghana na Tanzania au Zambia kwa hizo $4000-$5000.

Balozi asitake kujipatia ujiko kwa wimbi hilo la watu kwenye mining na construction.
Ajira zimeongezeka baada ya Rais Samia Suluhu kuimarisha diplomasia
 
Maswali Ya kujiuliza Je wanalipwa kiasi gani au ndio wale cheap labors wakulipwa $4000-5000

Maslahi yao yako vipi usalama wao makazi

Maana nazani ni mwaka Juzi Tu Shirika la Haki za Binadamu liliripoti Kesi za unyanyasaji zaidi ya 270 na zote wahusika wanatokea ukaanda wa Africa Mashariki Ambapo Kuna wajinga wengi

Hao jamaa Waliachana wafilipino na wahindi Kutokana na wale jamaa kuwa makini na maslahi yao

Na serikali zao zinafuatilia raia ukilinganisha na mapunguwani walioko Huku kwetu
 
Leo unaziita ajira ila baada ya mwaka mtaanza kututupia mitandaoni picha za ma housegirl wanao nyanyaswa kingono kwa kubakwa na familia za waarabu.




Fuatilia basi taarifa za uhakika achana na stori za mitaani..
Saudia ndio no 1 duniani kuwa na ratio kubwa ya expatriates vs citizens..
Zaidi ya 40% ya population yake ya 35m ni wageni wa nje wanao fanya kazi nchini hapo yaani expatriates..
Ntajie nchi yoyote inayokaribia hiyo ratio.
 
Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia, Ali Jabir amesema zaidi ya Watanzania 900 mwaka huu wamepata fursa ya kwenda kufanya kazi nchini Saudi Arabia kupitia utaratibu rasmi.

Haya ni matuna ya diplomasia iliyojengwa na Rais Samia Suluhu.
Naamini more than 90% wanatumika kama and watumwa
 
Maswali Ya kujiuliza Je wanalipwa kiasi gani au ndio wale cheap labors wakulipwa $4000-5000

Maslahi yao yako vipi usalama wao makazi

Maana nazani ni mwaka Juzi Tu Shirika la Haki za Binadamu liliripoti Kesi za unyanyasaji zaidi ya 270 na zote wahusika wanatokea ukaanda wa Africa Mashariki Ambapo Kuna wajinga wengi

Hao jamaa Waliachana wafilipino na wahindi Kutokana na wale jamaa kuwa makini na maslahi yao

Na serikali zao zinafuatilia raia ukilinganisha na mapunguwani walioko Huku kwetu
Lakini sasa Rais Samia Suluhu ameimarisha Diplomasia kwaiyo sasa watafanya kazi bila shida yoyote.
Hatuta sikia tena kesi kama izo maana Rais Samia anasimamia haki za wananchi tusikalili
 
Naamini more than 90% wanatumika kama and watumwa
Hakuna kitu kama icho bro Rais Samia Suluhu ameimarisha diplomasia ndio maana waarabu wanakuja kuwekeza Tanzania na sisi tunapata ajira nchi za kiarabu na hakuna utumwa chini ya Rais Samia Suluhu
 
Leo unaziita ajira ila baada ya mwaka mtaanza kututupia mitandaoni picha za ma housegirl wanao nyanyaswa kingono kwa kubakwa na familia za waarabu.

Be careful na hizo mnazoita ajira, ni human trafficking tu
Fuatilia basi taarifa za uhakika achana na stori za mitaani..
Saudia ndio no 1 duniani kuwa na ratio kubwa ya expatriates vs citizens..
Zaidi ya 40% ya population yake ya 35m ni wageni wa nje wanao fanya kazi nchini hapo yaani expatriates..
Ntajie nchi yoyote inayokaribia hiyo ratio.
 
Fuatilia basi taarifa za uhakika achana na stori za mitaani..
Saudia ndio no 1 duniani kuwa na ratio kubwa ya expatriates vs citizens..
Zaidi ya 40% ya population yake ya 35m ni wageni wa nje wanao fanya kazi nchini hapo yaani expatriates..
Ntajie nchi yoyote inayokaribia hiyo ratio.
Kweli kabisa watu wanajua ukienda nchi za kiarabu lazima ukafanye kazi za ndani wakati kuna watanzania wengi tu uko wametoboa maisha na sasa Rais Samia Suluhu ametufungulia zaidi tunaenda kwa kwa kujiamini
 
Ajira hizo 900 mbona hawasemi ni kazi za aina gani maana hata jirani kenya na Uganda wapo Airport ya Doha na wanajulikana wako wangapi huko

Sasa sisi mnataja tu namba bila kuchambua kazi zao
Mbona mko nyuma hivi kwa takwimu?

Hatutaki mjisifie kwa kuwapeleka wafanyakazi wa ndani ambao mwisho wao hubebeshwa mimba na muajiri halafu anasingiziwa dereva muhindi wa ndani pia halafu anarudishwa au kuuwawa kabisa kwa kipigo huku mwarabu akiogopa aibu

Kama ni ajira za maana kama kwenye mafuta au madereva wa malory sawa wanaume wakapambane sio mnawapeleka wasichana huku mnakula 10% zenu
 
Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia, Ali Jabir amesema zaidi ya Watanzania 900 mwaka huu wamepata fursa ya kwenda kufanya kazi nchini Saudi Arabia kupitia utaratibu rasmi.

Haya ni matuna ya diplomasia iliyojengwa na Rais Samia Suluhu.
Uyu balozi ni mwehu ivi watu 900 ni kitu cha kutangaza kweli?
 
Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia, Ali Jabir amesema zaidi ya Watanzania 900 mwaka huu wamepata fursa ya kwenda kufanya kazi nchini Saudi Arabia kupitia utaratibu rasmi.

Haya ni matuna ya diplomasia iliyojengwa na Rais Samia Suluhu.
Sasa haya mapande mbona huwa hawayaweki wazi?
 
Hawa ndio wale wadada wa kazi wanaobakwa na kudhalilishwa au unamaanisha nini ?
Siyo hao. Hii inapitia official channel. Mbona hata TZ waajiri wanawabaka mabinti wa kazi. Kumbuka kubaka ni kubaka hakuna afadhali ya nani kabaka.
 
Siyo hao. Hii inapitia official channel. Mbona hata TZ waajiri wanawabaka mabinti wa kazi. Kumbuka kubaka ni kubaka hakuna afadhali ya nani kabaka.
unaakili sana aisee
 

Attachments

  • 5E6F5C53-0A58-48EC-9066-438F906D4426.jpeg
    5E6F5C53-0A58-48EC-9066-438F906D4426.jpeg
    156.4 KB · Views: 8
Hakuna kitu kama icho bro Rais Samia Suluhu ameimarisha diplomasia ndio maana waarabu wanakuja kuwekeza Tanzania na sisi tunapata ajira nchi za kiarabu na hakuna utumwa chini ya Rais Samia Suluhu
Mi sikandii juhudi za Mama. Tangu enzi na enzi mwarabu hajawahi kuwa mwema kabisa. Ni kutumikisha utumwa kwenda mbele
 
Back
Top Bottom