Balozi Karume amemsahau Liu Zhidan wa chama cha CCP cha China aliyefutiwa heshima akiwa kaburini

Balozi Karume amemsahau Liu Zhidan wa chama cha CCP cha China aliyefutiwa heshima akiwa kaburini

Wanaokosoana ndani ni mtu na mkewe,msiwapangie watu sehemu ya kuongea.
Si kweli mzaramo...

Umeusahau msemo "praise in the public and criticise in the closet"?!!

CCM kina utaratibu wa kuyaongelea mambo yake ndani na si nje....

Utaratibu huo hujawahi kuusikia huko CHADEMA?!!
 
Si kweli mzaramo...

Umeusahau msemo "praise in the public and criticise in the closet"?!!

CCM kina utaratibu wa kuyaongelea mambo yake ndani na si nje....

Utaratibu huo hujawahi kuusikia huko CHADEMA?!!
Nimekataa kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa ili niwe huru kumkosoa yeyote na kumpongeza yeyote.
 
Baba wa taifa akiwa bado ni waziri mkuu alisema kuwa "....tumejikomboa na madhila, mateso na manyanyaso ya wageni. Leo kila aliyekuwepo ndani ya Tanganyika ni mtanganyika, awe MWARABU, MWASIA, MZUNGU, MWAJEMI... wote hao ni SAWA na kila asiye na uhusiano nao wa kidamu....".
Yah right. Baba wa Taifa angefufuka ajionee jinsi gani Watanzania wanavyonyaswa na kikundi kidogo cha Chama alichokiasisi. Au malengo yalikuwa kujikomboa toka kwa Mkoloni Mweupe ili tujinyanyase wenyewe chini ya Mkoloni Mweusi ....!!?
 
Back
Top Bottom