Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Hao KARUME CLAN wana shida mahali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...ndio USIKIE.Sijawahi kusikia.
Si kweli mzaramo...Wanaokosoana ndani ni mtu na mkewe,msiwapangie watu sehemu ya kuongea.
Hakika hakika. [emoji7][emoji7]Muhammad shamte, waziri mkuu wa zanzibar aliyepinduliwa, hakuwa mwarabu
Argumentum ad hominem.A Comedy of Errors.
Kwani ni wote mkuu ?!!Hao KARUME CLAN wana shida mahali.
Whose?Argumentum ad hominem.
Huijui historia ya visiwa?!!Kuna ushahidi kuwa Shamte ni wa Mbonde?
Majibu ndiyo hayo....Hata Tanga na Mombasa jina la Shamte lipo na huko ni karibu zaidi na Pemba.
Ni vyema majibu yake akakupa mzee wetu komredi Balozi Ali Karume [emoji1787][emoji1787]Bashiru Ali alikuja kuwa KM wa CCM na alishiriki ktk mipango ya kumfukuza uanachama Membe.
Vp Bashiru alikuwa mdandia meli ama alikuwa baharia?
Nimekataa kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa ili niwe huru kumkosoa yeyote na kumpongeza yeyote.Si kweli mzaramo...
Umeusahau msemo "praise in the public and criticise in the closet"?!!
CCM kina utaratibu wa kuyaongelea mambo yake ndani na si nje....
Utaratibu huo hujawahi kuusikia huko CHADEMA?!!
Mkuu nimenukuu kauli ya mzee wetu mh.balozi Ali Karume...Mtoa mada ndiye ajibu kwani kwenye content kasema hakuna wakuja ndani ya CCM anaweza mfukuza mwana CCM.
Hongera sana komredi [emoji7]Nimekataa kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa ili niwe huru kumkosoa yeyote na kumpongeza yeyote.
Yah right. Baba wa Taifa angefufuka ajionee jinsi gani Watanzania wanavyonyaswa na kikundi kidogo cha Chama alichokiasisi. Au malengo yalikuwa kujikomboa toka kwa Mkoloni Mweupe ili tujinyanyase wenyewe chini ya Mkoloni Mweusi ....!!?Baba wa taifa akiwa bado ni waziri mkuu alisema kuwa "....tumejikomboa na madhila, mateso na manyanyaso ya wageni. Leo kila aliyekuwepo ndani ya Tanganyika ni mtanganyika, awe MWARABU, MWASIA, MZUNGU, MWAJEMI... wote hao ni SAWA na kila asiye na uhusiano nao wa kidamu....".