Akiwa kwenye system anakuwa mtu tofauti.Huyu mzee inabidi apewe cheo ili astaafu nacho vizuri ama hata mshauri wa diplomasia huko Tanzania embassy in USA kidogo atanyamaza Ni akili tu za ccm jamani sio mie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiwa kwenye system anakuwa mtu tofauti.Huyu mzee inabidi apewe cheo ili astaafu nacho vizuri ama hata mshauri wa diplomasia huko Tanzania embassy in USA kidogo atanyamaza Ni akili tu za ccm jamani sio mie
Kauli nzito sana hii.“Mimi huwa nasema kila siku, Kama siyo Magufuli (hayati Rais John) kuamua kugombea wakati ule, CCM ilikuwa inapoteza. Tulishafanya analysis zetu kabisa tukaona CCM haiendi mbali. Magufuli kuja kugombea ndiyo ime rejuvenate (imeifufua) CCM.
Huyo kashaona 2025. Hana Jimbo kaamua kujilipua.Na Profesa Kitila kasema lakini,na bado ni mbunge, pengine utasema uwaziri ameukosa, lakini ni mbunge tena wa CCM.