Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Story yako ni interesting lakini nimeshindwa kuona link ya AG katika scandal hii hasa kuhusu yeye kuwa na hisa. Labda ufafanue kidogo
May I inform my friend Belo that the information he has about ambassador Maajar is out of date; currently that mamakubwa is in USA in the same capacity, but since USA is not a commonwealth country is styled an ambassedor and not high commissioner. As regards the reputation of her law firm, it's one of the biggest beneficiaries of the high state corruption involving questionable contacts during the third phase government. As you may probably know Mrs Mkapa's father and her own father are brothers.
Nimeingia kwenye website ya REX Attorneys na kuona kuwa Balozi Maajar bado ni partner wa hii firm.Hii ni AIBU kubwa kwa law proffesion ya TANZANIA.
Jamani hapa hamuoni conflict of Interests?Nchi nyingi zenye democracy kamili,ukichaguliwa kuwa na nafasi kama hiyo unabidi ukate ties.
Kuna thread hapa kuwa REX attorneys imelipwa whooping Ths 5 billion kuiwakilisha TANESCO against DOWANS!!!!Tukumbuke TANESCO ni chombo cha serikali.It means naye amepata share hii ya Tshs 5 billioni hela za wavuja jasho Tanzania.
Mimi sijui sheria,labda jamaa zetu mliosoma sheria,au mjumbe toka TANGANYIKA LAWLESS SOCIETY atuambie hii ni poa tu kuwa balozi mteule anayewakilisha nchi ya Tz huko USA ,also ni private employed na local firm.
dawa hii nchi ukipata chansi bugia tu mahela ya walalhoi. sasa hasira zote hizi halafu unasikia uchaguzi mafisadi wameshinda kwa kishindo tena kwa kra za haohao wananchi wanoibiwa kila kukicha, wakiambiwa hawasikii!
Hoja zingine zipo very low..!!!
Utasemaje na Watanzania walioajiriwa na Ulaya au Amerika na makampuni ya wazungu?...Hivi hakuna Wazungu wanaoweza kufanya kazi zao? hadi waajiriwa waafrika...? Tusiwe wepesi chukua kila Hoja bila Kupima....!!!
kama Hujui Umuhimu wa Wazungu au Expats..ktk big firm ...Kalale...Ukishakuwa utajua umuhimu wa kuwa na Multiculture/Multinational employees ktk Kampun yako...!!
.
kaka grow up!!!