Balozi Mahiga: Tumepokea ripoti za Amnesty International Human Rights watch na tutajibu kipengele kwa kipengele

Balozi Mahiga: Tumepokea ripoti za Amnesty International Human Rights watch na tutajibu kipengele kwa kipengele

Hadhi ya Zimbabwe ilianza kuporomoka hivihivi kwa tathimini za mashirika hayahaya.
Tatizo la serikali hii inadhani matendo yake hayaonekani nje na kupimwa, ni aibu kutoka nchi iliyokuwa ya kupigiwa mfano mwema hadi kunyooshewa vidole
Anavumiliwa Kuna mstari hataruhusiwa avuke
 
Wajibu au waanze kufanyia kazi? Ripoti siyo ya kujibiwa ni kutendea kazi kwa sababu hakuna kilichodanganywa. Mbona nyie mkipewa ripoti mnatumbua watu hadharani? Kwani mmewahi sema tunasubiri majibu?.

Alafu kusema mtajibu mnamaama yaliyoandikwa yamesingiziwa na uwongo? Isije mkaleta hoja kwa hoja. Utasikia "Hawa kwakuwa sikuizi hawatunyoji na tumewazibia mirija yao yote sasa wanawashwawashwa na ndio kuiva kwenyewe kwa maharage. Tunawazidi maendeleo ndio maana wanatuchukua tumejenga bridge over, sgr,stiglier mandege yanamimika kila mwezi"
 
Wajibu au waanze kufanyia kazi? Ripoti siyo ya kujibiwa ni kutendea kazi kwa sababu hakuna kilichodanganywa. Mbona nyie mkipewa ripoti mnatumbua watu hadharani? Kwani mmewahi sema tunasubiri majibu?.

Alafu kusema mtajibu mnamaama yaliyoandikwa yamesingiziwa na uwongo? Isije mkaleta hoja kwa hoja. Utasikia "Hawa kwakuwa sikuizi hawatunyoji na tumewazibia mirija yao yote sasa wanawashwawashwa na ndio kuiva kwenyewe kwa maharage. Tunawazidi maendeleo ndio maana wanatuchukua tumejenga bridge over, sgr,stiglier mandege yanamimika kila mwezi"
Exactly

Ndicho watakachotaka kujibu kwa kujifanya wanakanusha ripoti zote 2 za Amnesty International na Human Rights Watch

Hivi kuna kipengele gani kati ya vipengele walivyovieleza, ni cha uongo??

Hawa watawala wetu wanataka kuigeuza Tanzania iwe kama Zimbabwe.....

Zimbabwe enzi za Mugabe ilikuwa hivi hivi

Ripoti za kimataifa zikawa zinatolewa, lakini wao watawala wa Zimbabwe wakawa wqnazipuuza na kuzikanusha

Hatimaye Jumuiya ya kimataifa ikawatenga na kiwakatia misaada nchi hiyo.

Hivi sasa wazimbabwe wanaishi katika maisha magumu sana ya kulia na kusaga meno!
 
Amesema hivyo ili kushusha pressure ya wachangiaji wa mitandaoni, lakini pressure ikishuka na wao watapotezea. Ni kama ule utapeli wa tume ya waziri mkuu kuhusu ajali ya moto wa mafuta kule Morogoro. Ni bahati mbaya hamna mpinzani anayeweza kuitisha vyombo vya habari na kupandisha utambi kwenye hiyo ripoti.
Balozi Mahiga ana uwezo mkubwa wa kuwa mzimamoto wa serikali.

Kuna wakati Balozi wa Tanzania Burundi alishiriki kwenye biashara ya silaha. Membe alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje. Siku hizo Balozi Mahiga alikuwa Balozi wa Tanzania UN.

Basi Membe alihojiwa akachemka kitoto. Akakataa katakata kwamba Wafanyakazi wa Serikali ya Tanzania wamehusika kwenye biashara ya silaha Mashariki ya Congo.

Kumbe BBC wamemfanyia maswali ya mtego, wanauliza maswali kama hawajui, wakati wananushahidi wite moaka text nessages za Balozi.

Kikwete alikasirika sana Membe alivyozidiwa kete na waandishi wa habari, akampigia simu Balozi Mahiga New York. Akamwambia hii kazi ya kutuliza scandal nakupa wewe.

Siku chache baadaye nikasikia BBC wanamuhoji balozi Mahiga.

Wamemuuliza seali, kwanza anaanza kujibu na historia ndefu ya Tanzania na inavyojishughulisha kupatikanankwa amani eneo la maziwa makuu, akaongea misingi ya tangu siku za Nyerere, akafundisha darasa kama enzi zake Profesa wa Chuo Kikuu. Kisha akacheza sarakasi za kidiplomasia, akasema serikali ya Tanzania haihusiki na biashara chafu ya silaha, ila hawezi kusema kama wafanyakazi wa serikali wanehusika kama watu binafsi. Anachofanya ni kaanzisha uchunguzi wa kimataifa kuangalia jambo hili, na hatua zitachukuliwa kulingana na uchunguzi utakavyoona.

Nikajua mzee mzima kashamaliza kazi.

Sikuisikia tena ile scandal wala sijui uchunguzi uliishaje. Kitu muhimu Dr. Mahiga alizima moto kidiplomasia kwa jinsi ambayo Membe alishindwa.

Baadaye kidogo nikasikia balozi wa Tanzania Burundi karudishwa nyumbani.

Nikajua mule muleee.
 
Hapa ndiyo tutatajua ukweli na uwongo wao. Watanzania sio wale anaowafikiria tunaona hatudanganyiki.

Tumshukuru mungu tunaongea lugha moja na tuna sauti moja.

Tusipokuwa makini hawa ccm wapenda madaraka watasababisha vita.

Jamaa alicheza rafu sana kwa kutafuta kiki, kwenye utawala wake. Kama sio kugusa familia za watu angepata ushirikiano mzuri sana.
 
Hivi Waziri Mahiga bado ni Waziri wa Mambo ya Nje?

Juzi nilimuona akitolea ufafanuzi mambo ya China nikashangaa, Waziri wa Katiba na Sheria anafanya kazi ya Waziri Kabudi nikajiuliza au Magufuli alikurupa kumuondoa jamaa?.

Hukushangaa pia wazir wa mambo ya nje akisign mikataba ya madini?
 
Balozi Mahiga ana uwezo mkubwa wa kuwa mzimamoto wa serikali.

Kuna wakati Balozi wa Tanzania Burundi alishiriki kwenye biashara ya silaha. Membe alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje. Siku hizo Balozi Mahiga alikuwa Balozi wa Tanzania UN.

Basi Membe alihojiwa akachemka kitoto. Akakataa katakata kwamba Wafanyakazi wa Serikali ya Tanzania wamehusika kwenye biashara ya silaha Mashariki ya Congo.

Kumbe BBC wamemfanyia maswali ya mtego, wanauliza maswali kama hawajui, wakati wananushahidi wite moaka text nessages za Balozi.

Kikwete alikasirika sana Membe alivyozidiwa kete na waandishi wa habari, akampigia simu Balozi Mahiga New York. Akamwambia hii kazi ya kutuliza scandal nakupa wewe.

Siku chache baadaye nikasikia BBC wanamuhoji balozi Mahiga.

Wamemuuliza seali, kwanza anaanza kujibu na historia ndefu ya Tanzania na inavyojishughulisha kupatikanankwa amani eneo la maziwa makuu, akaongea misingi ya tangu siku za Nyerere, akafundisha darasa kama enzi zake Profesa wa Chuo Kikuu. Kisha akacheza sarakasi za kidiplomasia, akasema serikali ya Tanzania haihusiki na biashara chafu ya silaha, ila hawezi kusema kama wafanyakazi wa serikali wanehusika kama watu binafsi. Anachofanya ni kaanzisha uchunguzi wa kimataifa kuangalia jambo hili, na hatua zitachukuliwa kulingana na uchunguzi utakavyoona.

Nikajua mzee mzima kashamaliza kazi.

Sikuisikia tena ile scandal wala sijui uchunguzi uliishaje. Kitu muhimu Dr. Mahiga alizima moto kidiplomasia kwa jinsi ambayo Membe alishindwa.

Baadaye kidogo nikasikia balozi wa Tanzania Burundi karudishwa nyumbani.

Nikajua mule muleee.
Naweza pata wapi hako kaclip mkuu.
 
Mahiga atasema nini katika majibu yake juu ya ripoti hizi. Anataka kusema kilichobainishwa kwenye ripoti ni "uzushi"? Au anataka kufanya kama kilichofanywa na waziri mwenzie, Mpango, kulalamikia uchapishaji wa ripoti ya hali ya uchumi "bila kuzingatia hoja za serkali"?

Lakini ripoti zinaitaka serikali kujitathmini kuhusu masuala ya haki za binadam; sasa sijui ndo anataka kutoa taarifa ya utekelezaji wa matakwa hayo? Lakini kama ni hivyo mbona mapema sana!

Kabla serikali "haijajibu mapigo" ni vyema wakumbuke kuwa ripoti ndo "final" kwa maana "ukichafuka" au "kutakata" kwa muji wa ripoti hizi "ndo basi tena". Maana yake ripoti hizi ni kama vile kioo kinachokudhihirishia jinsi uonekanavyo na wanaokutazama.

Kuna kananuni ya tathmini inasema

"Telling yourself and others that you are doing well is not rewarding or persuasive as someone else who knows what they are talking about telling you".

Maana yake ni kwamba kujisifia mwenyewe na mbele za watu kuwa unafanya vizuri hainogi kama ambavyo ungeambiwa na mtu au chombo chenye mamlaka ya kukufanyia tathmini juu ya kile unachokifanya.

Amnesty International na Human Rights Watch ndo vyombo vyenye mamlaka ya kutoa tathmini juu ya mwenendo wa masuala ya haki za binadamu kimataifa. Bali ripoti zitolewazo na vyombo hivi ni matokeo ya tafiti zinafanya.

Msingi wa uwepo wa vyombo hivi ni kwamba endapo nchi zenyewe zingekuwa zinatoa ripoti ya tathmini ya utoaji wake juu ya haki za binadamu zingekuwa "zinajifagilia" kwa maana isingewezekana kujisema vibaya. Kwahiyo majibu ya Mahiga hayana mamlaka ya kujisafisha dhidi ya ripoti hizi
 
Ccm kunakoendelea mjipange kubadili jina lachama...kizazi chenu cha ccm hakipo tena....sisi wengine tunaonya kinyaa tunavoendelea kusikia kifupi chenu hicho....fikra fikilishi natamanishi kuendelea kuijua nakuipenda ccm kwakweli zimekatika
Huyu Mzee mashavu yameshuka Kwa kusema uongo eti "tutajibu mstari kwa mstari"
Hii nchi inahitajika mapinduzi ya fikra Kwa viongozi wa CCM
 
Balozi Mahiga ana uwezo mkubwa wa kuwa mzimamoto wa serikali.

Kuna wakati Balozi wa Tanzania Burundi alishiriki kwenye biashara ya silaha. Membe alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje. Siku hizo Balozi Mahiga alikuwa Balozi wa Tanzania UN.

Basi Membe alihojiwa akachemka kitoto. Akakataa katakata kwamba Wafanyakazi wa Serikali ya Tanzania wamehusika kwenye biashara ya silaha Mashariki ya Congo.

Kumbe BBC wamemfanyia maswali ya mtego, wanauliza maswali kama hawajui, wakati wananushahidi wite moaka text nessages za Balozi.

Kikwete alikasirika sana Membe alivyozidiwa kete na waandishi wa habari, akampigia simu Balozi Mahiga New York. Akamwambia hii kazi ya kutuliza scandal nakupa wewe.

Siku chache baadaye nikasikia BBC wanamuhoji balozi Mahiga.

Wamemuuliza seali, kwanza anaanza kujibu na historia ndefu ya Tanzania na inavyojishughulisha kupatikanankwa amani eneo la maziwa makuu, akaongea misingi ya tangu siku za Nyerere, akafundisha darasa kama enzi zake Profesa wa Chuo Kikuu. Kisha akacheza sarakasi za kidiplomasia, akasema serikali ya Tanzania haihusiki na biashara chafu ya silaha, ila hawezi kusema kama wafanyakazi wa serikali wanehusika kama watu binafsi. Anachofanya ni kaanzisha uchunguzi wa kimataifa kuangalia jambo hili, na hatua zitachukuliwa kulingana na uchunguzi utakavyoona.

Nikajua mzee mzima kashamaliza kazi.

Sikuisikia tena ile scandal wala sijui uchunguzi uliishaje. Kitu muhimu Dr. Mahiga alizima moto kidiplomasia kwa jinsi ambayo Membe alishindwa.

Baadaye kidogo nikasikia balozi wa Tanzania Burundi karudishwa nyumbani.

Nikajua mule muleee.
Hata hili angeliongelea Kabudi mambo yangekuwa tofauti!
 
The price we pay: Targeted for dissent by the Tanzanian State - Amnesty International.
As long as I am quiet, I am safe: Threats to Independent Media and Civil Society in Tanzania - Human Rights Watch.
 
Same same wamuachie Kabendera ndio tutawaelewa vinginevyo ni wakandamizaji.
 
Huyu Mzee mashavu yameshuka Kwa kusema uongo eti "tutajibu mstari kwa mstari"
Hii nchi inahitajika mapinduzi ya fikra Kwa viongozi wa CCM
Basi wewe mashavu yamepanda kwa kiongea ukweli. Nadhani unafanana kama bundi hivi.
 
Hivi Waziri Mahiga bado ni Waziri wa Mambo ya Nje?

Juzi nilimuona akitolea ufafanuzi mambo ya China nikashangaa, Waziri wa Katiba na Sheria anafanya kazi ya Waziri Kabudi nikajiuliza au Magufuli alikurupa kumuondoa jamaa?.
Once you touch the question of rights...
you touch law bro....
and when you touch law the rensponsible minister comes in....
stretch your mind properly
 
Wanafiki huogopa kifo,general ulimwengu ni mnafiki sana
Daah nimemiss makala za Jenerali Ulimwengu kwenye Raia mwema enzi za utawala wa Kikwete. Naona uhuru wa kuandika maoni huru umebanwa kiasi kwamba werevu hawandiki tena makala.....
 
Amnestry international ni mawakala wa mabeberu chini ya kitengo "kinachojiita" cha haki za binadamu!

Kisichokua na menobya kuiua marekani ikiivamia irako na Afghanistan na kuwaua wamama wajawazito wazee na watoto wachanga

God will finally judge them one day
 
Back
Top Bottom