Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Ngoja tuone hayo matamko ya CHADEMA na CCM yatakuja na kitu gani!
====
Rais na Mtendaji Mkuu wa Kituo cha Sera za Kimataifa-Afrika (CIP-AFRICA), Mheshimiwa Balozi Omar Mjenga, amepongeza jinsi zoezi la uchaguzi mdogo limeendeshwa kwa utulivu na amani. Katika mazungumzo yake, amewapongeza wale waliochaguliwa kushika nafasi mbalimbali, akisisitiza umuhimu wa kushirikiana kwa maslahi ya taifa.
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Aidha, Mheshimiwa Balozi Mjenga amewataka wanasiasa kuepuka kutoa taarifa za uongo kwa umma, akieleza kuwa taarifa za aina hiyo husababisha taharuki, jambo ambalo si desturi ya Watanzania. Ametoa wito wa kuendeleza maadili mema na mshikamano ili kulinda amani ya nchi yetu.
Ngoja tuone hayo matamko ya CHADEMA na CCM yatakuja na kitu gani!
====
Rais na Mtendaji Mkuu wa Kituo cha Sera za Kimataifa-Afrika (CIP-AFRICA), Mheshimiwa Balozi Omar Mjenga, amepongeza jinsi zoezi la uchaguzi mdogo limeendeshwa kwa utulivu na amani. Katika mazungumzo yake, amewapongeza wale waliochaguliwa kushika nafasi mbalimbali, akisisitiza umuhimu wa kushirikiana kwa maslahi ya taifa.
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Aidha, Mheshimiwa Balozi Mjenga amewataka wanasiasa kuepuka kutoa taarifa za uongo kwa umma, akieleza kuwa taarifa za aina hiyo husababisha taharuki, jambo ambalo si desturi ya Watanzania. Ametoa wito wa kuendeleza maadili mema na mshikamano ili kulinda amani ya nchi yetu.