Balozi Mulamula usiwatishe mabalozi. Mahakama ni eneo la umma, huru na salama

Balozi Mulamula usiwatishe mabalozi. Mahakama ni eneo la umma, huru na salama

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
11,550
Reaction score
40,697
Siku ya jana nimemsikia Balozi Mulamula akitoa onyo na vitisho dhidi ya mabalozi, maafisa wa kidiplomasia wanaoziwakilisha nchi zao na taasisi za kimataifa hapa Tanzania kuhusu hatua yao kuhudhuria mahakamani kusikiliza kesi ya ugaidi inayomkabili mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe.

Balozi Mulamula alianza kwa kutoa kauli ya jumla jumla ya kusema wafate sheria za kidiplomasia bila kusema ni sheria zipi za kidiplomasia zinazotakiwa kufuatwa au zilizovunjwa au kuelekea kuvunjwa na maafisa hao.

Baadaye alipohojiwa na waandishi wa habari Balozi Mulamula alifafanua kauli yake kwa kusema kuwa, Balozi au afisa Diplomasia anayekwenda mahakamani kuhudhuria kesi ya Mbowe anajihatarishia maisha yake na pia yuko hatarini kuambukizwa Corona!

Kupitia andiko hili ninapenda kumwambia Balozi Mulamula na wapambe wake kuwa.

Mosi, kikatiba mahakama ni mhimili unaojitegemea, hauhitaji kusemewa na mhimili mwingine(serikali), kama kuna tatizo lolote katika mazingira ya mahakama basi watendaji wa mahakama watasema wenyewe. Mulamula sio sehemu ya mhimili wa mahakama, kauli yake imelenga kuingilia utendaji wa shughuli za kila siku za kimahakama. Ametoa kauli ya upotoshaji kwa chombo asichohusika nacho.

Pili, mahakama ni eneo huru la umma, salama zaidi kiraia, lenye ulinzi madhubuti. Mtu yoyote yule anayo haki na uhuru kufika mahakamani kufuatilia mwenendo wa kesi mbalimbali, pasipo kubughudhiwa, kuomba kibali cha mamlaka yoyote au kumtaarifu mtu mwingine yoyote. Maafisa wa balozi mbalimbali na wanadiplomasia hawajaanza leo wala jana kufika kwenye mahakama zetu kufuatilia mienendo ya kesi mbalimbali. Utaratibu huo ulikuwepo toka Nyerere aliposhtakiwa na serikali ya kikoloni kabla ya uhuru na uliendelea pia hata Nyerere alipokuwa rais wa Tanzania wakati wa mashtaka dhidi ya watuhumiwa wa uhaini.

Tatu, balozi Mulamula kwa malengo yake binafsi amelenga kuichafua nchi yetu mbele ya macho ya kitaifa kwa kutaka kuonyesha eneo la mahakama za Tanzania ni mahali pa hatari. Mahakama za Tanzania hazijawahi kuwa eneo la hatari kwa kipindi chote cha uhai wa taifa letu na tusilazimishe mahakama zetu kuwa maeneo ya hatari.

Balozi Mulamula umekosea, umetokusea na umewakosea maafisa wa kibalozi. Tuombe radhi, waombe radhi na jisahihishe.

PIA, SOMA:
- Mabalozi wa kigeni wanaohudhuria kesi ya Mbowe waonywa
 
kweli?
JamiiForums-1820461607.jpg
 
Siku ya jana nimemsikia Balozi Mulamula akitoa onyo na vitisho dhidi ya mabalozi, maafisa wa kidiplomasia wanaoziwakilisha nchi zao na taasisi za kimataifa hapa Tanzania kuhusu hatua yao kuhudhuria mahakamani kusikiliza kesi ya ugaidi inayomkabili mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe.

Balozi Mulamula alianza kwa kutoa kauli ya jumla jumla ya kusema wafate sheria za kidiplomasia bila kusema ni sheria zipi za kidiplomasia zinazotakiwa kufuatwa au zilizovunjwa au kuelekea kuvunjwa na maafisa hao.

Baadaye alipohojiwa na waandishi wa habari Balozi Mulamula alifafanua kauli yake kwa kusema kuwa, Balozi au afisa Diplomasia anayekwenda mahakamani kuhudhuria kesi ya Mbowe anajihatarishia maisha yake na pia yuko hatarini kuambukizwa Corona!

Kupitia andiko hili ninapenda kumwambia Balozi Mulamula na wapambe wake kuwa.

Mosi, kikatiba mahakama ni mhimili unaojitegemea, hauhitaji kusemewa na mhimili mwingine(serikali), kama kuna tatizo lolote katika mazingira ya mahakama basi watendaji wa mahakama watasema wenyewe. Mulamula sio sehemu ya mhimili wa mahakama, kauli yake imelenga kuingilia utendaji wa shughuli za kila siku za kimahakama. Ametoa kauli ya upotoshaji kwa chombo asichohusika nacho.

Pili, mahakama ni eneo huru la umma, salama zaidi kiraia, lenye ulinzi madhubuti. Mtu yoyote yule anayo haki na uhuru kufika mahakamani kufuatilia mwenendo wa kesi mbalimbali, pasipo kubughudhiwa, kuomba kibali cha mamlaka yoyote au kumtaarifu mtu mwingine yoyote. Maafisa wa balozi mbalimbali na wanadiplomasia hawajaanza leo wala jana kufika kwenye mahakama zetu kufuatilia mienendo ya kesi mbalimbali. Utaratibu huo ulikuwepo toka Nyerere aliposhtakiwa na serikali ya kikoloni kabla ya uhuru na uliendelea pia hata Nyerere alipokuwa rais wa Tanzania wakati wa mashtaka dhidi ya watuhumiwa wa uhaini.

Tatu, balozi Mulamula kwa malengo yake binafsi amelenga kuichafua nchi yetu mbele ya macho ya kitaifa kwa kutaka kuonyesha eneo la mahakama za Tanzania ni mahali pa hatari. Mahakama za Tanzania hazijawahi kuwa eneo la hatari kwa kipindi chote cha uhai wa taifa letu na tusilazimishe mahakama zetu kuwa maeneo ya hatari.

Balozi Mulamula umekosea, umetokusea na umewakosea maafisa wa kibalozi. Tuombe radhi, waombe radhi na jisahihishe.

Kwamba?

"Balozi Mulamula alifafanua kauli yake kwa kusema kuwa, Balozi au afisa Diplomasia anayekwenda mahakamani kuhudhuria kesi ya Mbowe anajihatarishia maisha yake na pia yuko hatarini kuambukizwa Corona!"

Huku si ni zaidi ya kujitoa ufahamu?

Hiiiiii bagosha!
 
Nimeshangaa sana huyu mama kaanza lini kuwehuka
Huyu ni mwehu siku nyingi ila alijificha sana ughaibuni! Sasa ajaribu kuwadhuru Wana diplomasia aone muziki wake, hata kusafiri nje atapigwa ban!
 
Huyu balozi aache unafiki,tangu lini mabalozi wakapewa onyo juu ya Covid na usalama wao kwa ujumla?

Amesahau kwamba ni mabalozi haohao waliokuwa wanatahadharisha juu ya kufichaa takwimu za ugojwa mwaka jana?leo ndio katoka usingizini?

Tumeshajua anaogopa uwepo wao mahakamani kwa sababu hamna kesi hapo ni kujichafua kimataifa tu
 
Siku ya jana nimemsikia Balozi Mulamula akitoa onyo na vitisho dhidi ya mabalozi, maafisa wa kidiplomasia wanaoziwakilisha nchi zao na taasisi za kimataifa hapa Tanzania kuhusu hatua yao kuhudhuria mahakamani kusikiliza kesi ya ugaidi inayomkabili mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe.

Balozi Mulamula alianza kwa kutoa kauli ya jumla jumla ya kusema wafate sheria za kidiplomasia bila kusema ni sheria zipi za kidiplomasia zinazotakiwa kufuatwa au zilizovunjwa au kuelekea kuvunjwa na maafisa hao.

Baadaye alipohojiwa na waandishi wa habari Balozi Mulamula alifafanua kauli yake kwa kusema kuwa, Balozi au afisa Diplomasia anayekwenda mahakamani kuhudhuria kesi ya Mbowe anajihatarishia maisha yake na pia yuko hatarini kuambukizwa Corona!

Kupitia andiko hili ninapenda kumwambia Balozi Mulamula na wapambe wake kuwa.

Mosi, kikatiba mahakama ni mhimili unaojitegemea, hauhitaji kusemewa na mhimili mwingine(serikali), kama kuna tatizo lolote katika mazingira ya mahakama basi watendaji wa mahakama watasema wenyewe. Mulamula sio sehemu ya mhimili wa mahakama, kauli yake imelenga kuingilia utendaji wa shughuli za kila siku za kimahakama. Ametoa kauli ya upotoshaji kwa chombo asichohusika nacho.

Pili, mahakama ni eneo huru la umma, salama zaidi kiraia, lenye ulinzi madhubuti. Mtu yoyote yule anayo haki na uhuru kufika mahakamani kufuatilia mwenendo wa kesi mbalimbali, pasipo kubughudhiwa, kuomba kibali cha mamlaka yoyote au kumtaarifu mtu mwingine yoyote. Maafisa wa balozi mbalimbali na wanadiplomasia hawajaanza leo wala jana kufika kwenye mahakama zetu kufuatilia mienendo ya kesi mbalimbali. Utaratibu huo ulikuwepo toka Nyerere aliposhtakiwa na serikali ya kikoloni kabla ya uhuru na uliendelea pia hata Nyerere alipokuwa rais wa Tanzania wakati wa mashtaka dhidi ya watuhumiwa wa uhaini.

Tatu, balozi Mulamula kwa malengo yake binafsi amelenga kuichafua nchi yetu mbele ya macho ya kitaifa kwa kutaka kuonyesha eneo la mahakama za Tanzania ni mahali pa hatari. Mahakama za Tanzania hazijawahi kuwa eneo la hatari kwa kipindi chote cha uhai wa taifa letu na tusilazimishe mahakama zetu kuwa maeneo ya hatari.

Balozi Mulamula umekosea, umetokusea na umewakosea maafisa wa kibalozi. Tuombe radhi, waombe radhi na jisahihishe.
Wasomi wa Tanzania waliharibiwa na Magufuli wote
Ni ajabu kuwa wanaacha taaluma zao wanakuwa wanasiasa
 
Huyu mama huwa haeleweki hata anachoongea, alisoma bajeti kule bungeni hadi ilikuwa kituko......hivi hii nchi imeishiwa watu makini?
 
Eti ndo watu walikuwa wanamsifia huyu ni gwiji wa diplomasia!

Ukishakuwa CCM akili unatengana nayo
Aaaaaa huyu mama ni boghas and hopeless kabisa, na sijui ni kwanini walimpa hii wizara huyu mama.

Huyu mama ni mkabila sana!!
 
Huyu ni mwehu siku nyingi ila alijificha sana ughaibuni! Sasa ajaribu kuwadhuru Wana diplomasia aone muziki wake, hata kusafiri nje atapigwa ban!
Amejishushia sana heshima
 
Maajabu Chawa anafoka, akipukutwa atanyonya wapi misaada.
 
Back
Top Bottom