mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Nani asiyekuibia ???Mama wa bilioni 10 pesa ya mboga. Mgao wa escrow hawa ndio watanzania waliotuibia sana
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Kama vp kamfungulie kesi basi
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani asiyekuibia ???Mama wa bilioni 10 pesa ya mboga. Mgao wa escrow hawa ndio watanzania waliotuibia sana
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Hii itakuwa heshima kubwa kwa taifa. Lakini unapozungumzia UN una maana Katibu Mkuu wake au taasisi zake tanzu kama UNESCO, n.k.Katika kuendeleza diplomasia duniani. Mwanataaluma, Mheshimiwa Prof Balozi Benson Bana anatajwa kama Mkurugenzi Mkuu ajae wa Shirika la Umoja wa Mataifa - UNESCO.
He is not a scientist by the way. Inakuwaje akaongoze shirika la kisayansi UN? Utapeli huu.Katika kuendeleza diplomasia duniani. Mwanataaluma, Mheshimiwa Prof Balozi Benson Bana anatajwa kama Mkurugenzi Mkuu ajae wa Shirika la Umoja wa Mataifa - UNESCO.
Acha kujiona wa maana kupitiliza🤣🤣Ninatuma taarifa zake UN usiku huu huu ili waachane naye , huyu hafai kabisaaaa
Kuna tofauti ya kuiba ukathibitika na wezi hawa tunaodhani wanatuibia ingawa ushahidi hatuna elewa hivyo. Mama tibaijuka kila mtu anajua alipokea mgao wa fedha haramu za wizi hii imethibitika. Kesi simfungulii sina sababu ila na yeye asijitie mjuaji sana kumbe nae walewale tuu.Nani asiyekuibia ???
Kama vp kamfungulie kesi basi
Ova
Heshima inatusaidia niniHii itakuwa heshima kubwa kwa taifa. Lakini unapozungumzia UN una maana Katibu Mkuu wake au taasisi zake tanzu kama UNESCO, n.k.
Chawa wa jiweUnamfahamu Dr Bana ?
Najivunia Mtanzania mwenzangu anaenda kutuwakilisha huko juuKatika kuendeleza diplomasia duniani. Mwanataaluma, Mheshimiwa Prof Balozi Benson Bana anatajwa kama Mkurugenzi Mkuu ajae wa Shirika la Umoja wa Mataifa - UNESCO.
AsanteNajivunia Mtanzania mwenzangu anaenda kutuwakilisha huko juu
Haya mambo ndiyo aliyo lalamikia Dada yako Tulia Speaker wa Bunge.Ninatuma taarifa zake UN usiku huu huu ili waachane naye , huyu hafai kabisaaaa
Wewe una zaidi ya tatizo kichwani mwako.Hana faida kwetu
Kwa nn watu wapumbavu kama wewe wanazidi kuongezeka?, ulikuwa ukiomba na kusali sana dkt tulia akson mwansasu asishinde,lkn akashinda kwa kishindo,pambana tena na kwa huyu,umwombe sana huyu mungu wako ili na yeye asiteuliwe. Wewe ni chizi na huyo mungu wako unaye mwombaga,ndio maana mungu wa kweli huwa hapokei hayo maombi yako ya kishenzi.Itakuwa aibu kubwa sana !