Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tuko kwenye mpango wa kuhakikisha Ushindi wa Tulia unatenguliwaKwa nn watu wapumbavu kama wewe wanazidi kuongezeka?, ulikuwa ukiomba na kusali sana dkt tulia akson mwansasu asishinde,lkn akashinda kwa kishindo,pambana tena na kwa huyu,umwombe sana huyu mungu wako ili na yeye asiteuliwe. Wewe ni chizi na huyo mungu wako unaye mwombaga,ndio maana mungu wa kweli huwa hapokei hayo maombi yako ya kishenzi.
Huo uzuri uko wapi mbona hata manzese haikubadirika? Labda nyumbani kwake.In fact atafaa sana. Dada yake profesa Anna alituwakikisha vyema UN habitat. Aongezee tu kaphd kengine. Nipo kamachumu bay
Huyu Cardinal Rugambwa ni wa pili; alikuwepo mwingine tena wa kwanza ndiye aliyempokea hapa Papa John Paul II mwaka 1990, naye pia aliitwa Cardinal RugambwaKagera mmetisha sana
Juzi tu mlituzawadia Kardinali Rugambwa!
Mmefikia wapi mkuu nataka kuwaunga mkono kwenye hili.Tuko kwenye mpango wa kuhakikisha Ushindi wa Tulia unatenguliwa