daaah haya maisha bhana yan kama movie vile,,,
mara paap leo hii magufuli pamoja na vitisho vyake, tambo zake, mikwara yake lakn leo hii eti ashakuwa marehemu duh,,,,,,,,
Mara paaap hamphrey pole pole na tambo zake zote za kujirekodi na vieite lakn leo hii hayupo tena kwny cheo kile
Mara paaaap paul makonda na tambo zake za kutamka kwamba kati ya watu wanakula bata basi yy ni namba moja lakn leo hii hakuna hata redio mbao inayotamka jina lake
Mara paaap mtu aliyekua anavalia magwanda na kulindwa na polisi kulia na kushoto,, leo hii kawa balozi daaaah
Kweli cheo ni dhamana.