Balozi Sirro amshukuru Rais kwa kumuamini

Balozi Sirro amshukuru Rais kwa kumuamini

Hii sio kweli ,amri ni LAZIMA iwe legal one,President akimwambia ua mke wake,Mr.Sirro atatekeleza hilo?,hizi nyumba za ibada vimegeuka kuwa vichaka vya watu ambao mikono yao ina damu za binadamu wenzetu, wapi Mr.Saanane?,Mr.Sirro came clean kwa hili, wapi huyu member mwenzetu alipo?
mkuu mambo ya kijeshi ni magumu sana,msione watu wanapewa pewa vi favour fulani mkadhani ni hivi hivi.

acha twende taratibu.
wewe ukiongea na rais mama samia,unaongea na rais wako uliyemchagua au aliyechaguliwa na wenzako.
ila sirro anaongea na boss wake,kinga yake kiutendaji,mshauri wake na msemaji wake wa mwisho.
wewe unadhani kuua mke ni amri ngumu hiyo??kuna watu wako vitani huko au oparesheni wanasubiri amri ya rais tu kuua kijiji kizima cha watu au kundi fulani la watu,akisema ndio wamekwenda.kwa sababu gani???maslahi ya wengine.

amri isiyo halali haitoki kwa rais,inatoka kwa watu na viongozi wengine.
 
Hii sio kweli ,amri ni LAZIMA iwe legal one,President akimwambia ua mke wake,Mr.Sirro atatekeleza hilo?,hizi nyumba za ibada vimegeuka kuwa vichaka vya watu ambao mikono yao ina damu za binadamu wenzetu, wapi Mr.Saanane?,Mr.Sirro came clean kwa hili, wapi huyu member mwenzetu alipo?
Mtu anapewa amri ya kuua mke na mganga na anaua itakuwa Rais
 
mkuu mambo ya kijeshi ni magumu sana,msione watu wanapewa pewa vi favour fulani mkadhani ni hivi hivi.

acha twende taratibu.
wewe ukiongea na rais mama samia,unaongea na rais wako uliyemchagua au aliyechaguliwa na wenzako.
ila sirro anaongea na boss wake,kinga yake kiutendaji,mshauri wake na msemaji wake wa mwisho.
wewe unadhani kuua mke ni amri ngumu hiyo??kuna watu wako vitani huko au oparesheni wanasubiri amri ya rais tu kuua kijiji kizima cha watu au kundi fulani la watu,akisema ndio wamekwenda.kwa sababu gani???maslahi ya wengine.

amri isiyo halali haitoki kwa rais,inatoka kwa watu na viongozi wengine.
Ewe Dunia ebu simama nishuke, kama mkuu unafikiri kwa kiwango hiki basi Tanzania yetu itachukua generation nyingi kubadilika, vyombo vya usalama vipo kwa ajili yetu sio politicians na madikiteta uchwara, bila shaka wewe ni mmoja you can't even question kuhusu matumizi ya fedha yetu kwa vyombo hivi, nakuona hata ukipotea njia huwezi kwenda kumuuliza mwanajeshi akuonyeshe njia!,karibu huku lingusenguse, ukilewa polisi anakuendesha kukupeleka nyumbani!
 
Ulinzi 24 7 unamaana gani kama mwisho ataondoka?? Anaogopa nn mpaka ulinzi 24 7 wkt hawezi kuzuia hasiondoke??
Dictator J alilindwa 24 7 na mpaka na magari ya delaya lkn Mungu mkuu alimuona km mtu anayefanya mbwebwe tu humu duniani,
Nadhan kwa sasa kwa uharifu na uhuaji aloufanya yuko uko kolokoloni naye akinyea ndoo uku akiwa kuni za watesì wengine uko jehanamu
Mkuu ni katiba ndio inasema hivyo sio mimi
 

Mh Balozi ameyasema hayo ndani ya Kanisa, huko Muryaza Wilayani Butiama, alipokuwa kwenye misa ya shukrani kwa Mungu kwa kulitumikia Jeshi la polisi na hatimaye kuwa balozi wa Tanzania Nchini Zimbabwe

Chanzo: Azam TV

Atafute gunia ya kubebea pesa Zimbabwe. Yaani Raisi anajua atakuwa mharibifu mpaka kumpeleka huko
 

Mh Balozi ameyasema hayo ndani ya Kanisa, huko Muryaza Wilayani Butiama, alipokuwa kwenye misa ya shukrani kwa Mungu kwa kulitumikia Jeshi la polisi na hatimaye kuwa balozi wa Tanzania Nchini Zimbabwe

Chanzo: Azam TV
Sirro ni mtu mwema sana, mcha Mungu, mwenye huruma na Kiongozi kweli. Changamoto ya Sasa ni kuwa ili uongoze lazima vyama vya upinzani wakusifie pasi. Mwenyezi Mungu amjalie utulivu wa Moyo. Sadaka yake ya ujenzi wa Kanisa itaenziwa. Namuona Kingai nae akifuata uelekeo huo huo na mwisho nchi itapoteza viongozi wema kwa sababu binafsi za baadhi ya vyama vya siasa.
 

Mh Balozi ameyasema hayo ndani ya Kanisa, huko Muryaza Wilayani Butiama, alipokuwa kwenye misa ya shukrani kwa Mungu kwa kulitumikia Jeshi la polisi na hatimaye kuwa balozi wa Tanzania Nchini Zimbabwe

Chanzo: Azam TV
Wakatoliki tunajidhalilisha sana!! Huyu muuaji alitubu lini? Na fedha zake mmechukua siyo? Huyu mseminari aligeuka shetani na kuua zaidi ya shetani mwenyewe!
 
Ni kazi ile mkuu.Ina kiapo cha utii kwa Rais na nchi.Usimlaumu sana.Moyoni na yeye hapendi uonevu.Hatujazaliwa wakatili.Ni maisha,mazingira na ugali.😂😂😂😂
Mazingira na ugali!! Kwa miaka yote amechukua pochi za walipa kodi bado amekuwa tegemezi wa ugali!???? Ni kiazi tu!!
Hivi Said Mwema yuko wapi??
 
Sirro ni mtu mwema sana, mcha Mungu, mwenye huruma na Kiongozi kweli. Changamoto ya Sasa ni kuwa ili uongoze lazima vyama vya upinzani wakusifie pasi. Mwenyezi Mungu amjalie utulivu wa Moyo. Sadaka yake ya ujenzi wa Kanisa itaenziwa. Namuona Kingai nae akifuata uelekeo huo huo na mwisho nchi itapoteza viongozi wema kwa sababu binafsi za baadhi ya vyama vya siasa.
Huwezi ukafanya kazi Polisi ama jeshi na ukajikuta mchamungu,izo kazi kupata uchamungu ni ngumu sana elewa ilo,
 
Huwezi ukafanya kazi Polisi ama jeshi na ukajikuta mchamungu,izo kazi kupata uchamungu ni ngumu sana elewa ilo,
Wacha Mungu wapo wengi kwenye majeshi yetu hasa kwenye level za uafisa. Mfano CDF mstaafu. Ni Myth tuu kuwa ukiwa Mwanajeshi huwezi kuwa mchamungu. Hata vitani watu wanasali.
 
daaah haya maisha bhana yan kama movie vile,,,
mara paap leo hii magufuli pamoja na vitisho vyake, tambo zake, mikwara yake lakn leo hii eti ashakuwa marehemu duh,,,,,,,,
Mara paaap hamphrey pole pole na tambo zake zote za kujirekodi na vieite lakn leo hii hayupo tena kwny cheo kile
Mara paaaap paul makonda na tambo zake za kutamka kwamba kati ya watu wanakula bata basi yy ni namba moja lakn leo hii hakuna hata redio mbao inayotamka jina lake
Mara paaap mtu aliyekua anavalia magwanda na kulindwa na polisi kulia na kushoto,, leo hii kawa balozi daaaah
Kweli cheo ni dhamana.
Tuishi kwa kujitahudi kutenda haki. Mali na madaraka ni vitu vya kupita.
 
Back
Top Bottom