Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
humfahamu binadamu vizuri! ingekuwa hivyo Bakhressa angesema biashara basi kwa hela alizonazo anakula mpaka anakufaSirro ataendelea kula stahiki za IGP mstaafu zote mpaka anaondoka dunian
Ulinzi kwake ni 24 hrs kwa siku 7 za wiki, na mambo mengine kibao kama ndugai, kinachopungua ni kuonekana kwa TV tu
Pozi lake hapo kanisani zuri, ila natamani ingetokea aambiwe na Samia kuna kazi ya "kuwashughulia" wapinzani mara moja akamsaidie nione kama hatakubali.
Ni kazi ile mkuu.Ina kiapo cha utii kwa Rais na nchi.Usimlaumu sana.Moyoni na yeye hapendi uonevu.Hatujazaliwa wakatili.Ni maisha,mazingira na ugali.😂😂😂😂Wakivua gwanda kama watu vile
Hata huo ubalozi hukustahili, ila ni kama umetegwa ukiteleza kidogo huko tunakurudisha nyumbani haraka!View attachment 2302791View attachment 2302792
Mh Balozi ameyasema hayo ndani ya Kanisa , huko Muryaza Wilayani Butiama , alipokuwa kwenye misa ya shukrani kwa Mungu kwa kulitumikia Jeshi la polisi na hatimaye kuwa balozi wa Tanzania Nchini Zimbabwe
Chanzo : Azam TV
Hii sio kweli ,amri ni LAZIMA iwe legal one,President akimwambia ua mke wake,Mr.Sirro atatekeleza hilo?,hizi nyumba za ibada vimegeuka kuwa vichaka vya watu ambao mikono yao ina damu za binadamu wenzetu, wapi Mr.Saanane?,Mr.Sirro came clean kwa hili, wapi huyu member mwenzetu alipo?hiyo ni amri hawezi kataa.
Labda wa kutokea ukoo wenuSirro ni mcha Mungu
Ulinzi 24 7 unamaana gani kama mwisho ataondoka?? Anaogopa nn mpaka ulinzi 24 7 wkt hawezi kuzuia hasiondoke??Sirro ataendelea kula stahiki za IGP mstaafu zote mpaka anaondoka dunian
Ulinzi kwake ni 24 hrs kwa siku 7 za wiki, na mambo mengine kibao kama ndugai, kinachopungua ni kuonekana kwa TV tu
Polisi Tanzania sio wastaarabu hata reasoning hawana ,wakishavaa magwanda wanajiona juu ya Sheria na hawagusiki, yaani ni utumbo kabisaNi kazi ile mkuu.Ina kiapo cha utii kwa Rais na nchi.Usimlaumu sana.Moyoni na yeye hapendi uonevu.Hatujazaliwa wakatili.Ni maisha,mazingira na ugali.😂😂😂😂
Kova kwani ashakuwa IGP?Hivi kova na yeye ni balozi ama?
Kova tumempa kazi ya kudhibiti nidhamu ya wachezaji wa Simba , akina Jonas MkudeHivi kova na yeye ni balozi ama?
Siro umeua wangapi? Hayo makaniaa utachomwa nayo
Mh Balozi ameyasema hayo ndani ya Kanisa, huko Muryaza Wilayani Butiama, alipokuwa kwenye misa ya shukrani kwa Mungu kwa kulitumikia Jeshi la polisi na hatimaye kuwa balozi wa Tanzania Nchini Zimbabwe
Chanzo: Azam TV
Aiseee !!!Amri mojawapo ya kanisa Katoliki; 'ungama dhambi zako zote angalao mara moja kwa mwaka'