Balozi (The Tz Hip Hop legend)

Tatizo watu wa zamani wanapenda kuona vitu vyao bora hata kama vilikuwa vibovu...

Ila kiukweli Balozi alikuwa Rapper wa kawaida tu ila ule ukaribu wake na Kina Sugu ulimbeba mjini ila kiuwezo Balozi afiki hata nusu ya Nikki Mbishi au Songa.

Hata enzi zile achana hakuwa Best kati ya wale waliokuwepo pamoja nae.

Ni msanii wa kawaida tu ila kumwita legend Ni kuikosea Hip Hop kama Balozi unamwita Legend na Profesa Jay,Sugu au Fid Q unamwita nani?!
 
Hebu mtoe Did Q hapo muweke sogdog
 
Ni legendary kwa sababu ni miongoni mwa waanzilishi wa harakati za muziki wa hiphop bongo.

N i legendary kwa sababu ni kati ya wasanii kumi (10) wa mwanzoni kabisa kupeleka albam sokoni both as a solo and with his crew The Diplomatz.

Ni legendary kwa sababu baada ya harakati zilizoasisiwa nao,leo watu wanatengeneza mabilioni kwenye muziki.
 
Diplomatic

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Balozi anajua ww ulimckiliza kiuwoga

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Balozi anajua ww ulimckiliza kiuwoga

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Kujua najua anajua ila sio kwa ubora ule wa kuitwa legend na kupewa sifa kedekede jamaa alikuwa Average Rapper tu kama unabisha nipe Hit Song 2 za Balozi ukitoa "Balozi bado Nipo"
 
Kuhusu harakati na kuanza zamani siwezi kupinga maana hiyo Zamani hata Kr Mulla alionekana mkali.

Ila ukizungumzia ubora Balozi alikuwa na ubora wa kawaida tu ambao haumfanyi awe Legend.

Labda uniambie nyimbo 3 hit songs kutoka kwenye hiyo habari yake unayoisifia
 
Katika ma MC wa sasa ninavutiwa zaidi na Nick Mbishi.So kama namuona Nick ni bora maana yake ninamuona Legend kwa mtazamo wako?

Sio lazima pia na wewe umuone Nick Mbishi ni bora.Lakini wote mimi na wewe tunafahamu yeye sio Legend at least kwa sasa.

Kwahiyo ulegend na ubora ni vitu viwili tofauti sana.Ubora inategemea na mtazamo wa mtu,ufuatiaji,anakunwa na nini zaidi,biti au flow au mistari au kiki za msanii husika.So hapo tunatofautiana sana.Ila ulegendary upo tu mkuu,yani ni fact tu kuwa fulani ni legendary au sio legendary, wala haina ubishani.

Sugu namkubali na pia ni legendary wa huu muziki.Fig Q namkubali kuliko Sugu lakini naelewa kwa kutumia kipimo cha Sugu,Faridi sio Legend.Ila ukimzungumzia Young Killa,Q ni legend kwake.

Pamoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…