Balozi wa Denmark nchini Tanzania atembelea JamiiForums

Balozi wa Denmark nchini Tanzania atembelea JamiiForums

Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Balozi Mette Norgaard Spandet jana 23/03/2022, alifika kwenye ofisi za JF Jjijini Dar es Salaam na kukutana na viongozi na wafanyakazi kwa lengo la kujionea namna mtandao huo unavyofanya kazi.

Ambako alikutana pia na Mkurugenzi wa JamiiForums na kubadilishana naye mawazo.

View attachment 2162933
Mabalozi wa wenzetu wako simple kichizi, sio kama slaa, badala ya kuiwakilisha nchi, kaenda kuwakilisha chama
 
Lakin mi uwa najiuliza kwanini kama taifa tusijaribu kuifanya jf uwe mtandao mkubwa serikali iunge mkono na kuisupport hata rais awe na account hapa analeta mada tunajadili kama nchi zingne zilivyoifanya Twitter ikawe kubwa duniani?nawaza tu na najiuliza tu.VIvA JF viva go go go[emoji3589]
Serikali ikishaweka mkono wake, sahau "a place where we dare to talk openly"
 
Lakin mi uwa najiuliza kwanini kama taifa tusijaribu kuifanya jf uwe mtandao mkubwa serikali iunge mkono na kuisupport hata rais awe na account hapa analeta mada tunajadili kama nchi zingne zilivyoifanya Twitter ikawe kubwa duniani?nawaza tu na najiuliza tu.VIvA JF viva go go go[emoji3589]
Unajuaje kama hana??
 
Ni jambo zuri sana,, hii platform ingepewa kipaumbele hakika watanzania wangekuwa wanafanya mijadala ya kutosha humu na ingeweza kubakia kama kumbukumbu..

Ila sasa ndio hvo humu huwezi weka picha unakula chipsi CapeTown fish market wala wadada kujipiga trako.. humu ni discussion mwanzo mwisho.

Hongera kwa Maxence Melo
 
Jf kutembelewa na watu wakubwa hivi ujue wameikubali.Waafrika tuna uwezo tatizo sijui tunakwama wapi.
 
Ni jambo jema sana na inatia moyo,pia wangejadili na suala la kupigwa ban kisa mtu katoa mawazo yake na watendaji hawajafurahishwa mtu analimwa ban
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Balozi Mette Norgaard Spandet jana 23/03/2022, alifika kwenye ofisi za JF Jjijini Dar es Salaam na kukutana na viongozi na wafanyakazi kwa lengo la kujionea namna mtandao huo unavyofanya kazi.

Ambako alikutana pia na Mkurugenzi wa JamiiForums na kubadilishana naye mawazo.

View attachment 2162933
Hajaisifia chadema?
 
Ila Mello ni handsome jomoneee, awww yuko very yummy, [emoji8][emoji8][emoji8]
 
Nakusalimu malkia... Tujiandae kwa zama mpya za utawala wa kikomunisti duniani

Mabeberu wameshashindwa mchezoni
Salamu zimefika, aah sidhani kama hilo litafikia huko! Mi naona propaganda tu
 
Back
Top Bottom