Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Mabalozi wa wenzetu wako simple kichizi, sio kama slaa, badala ya kuiwakilisha nchi, kaenda kuwakilisha chamaKuwa wa kwanza kufahamu kwamba Balozi Mette Norgaard Spandet jana 23/03/2022, alifika kwenye ofisi za JF Jjijini Dar es Salaam na kukutana na viongozi na wafanyakazi kwa lengo la kujionea namna mtandao huo unavyofanya kazi.
Ambako alikutana pia na Mkurugenzi wa JamiiForums na kubadilishana naye mawazo.
View attachment 2162933