Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Mabalozi wa wenzetu wako simple kichizi, sio kama slaa, badala ya kuiwakilisha nchi, kaenda kuwakilisha chamaKuwa wa kwanza kufahamu kwamba Balozi Mette Norgaard Spandet jana 23/03/2022, alifika kwenye ofisi za JF Jjijini Dar es Salaam na kukutana na viongozi na wafanyakazi kwa lengo la kujionea namna mtandao huo unavyofanya kazi.
Ambako alikutana pia na Mkurugenzi wa JamiiForums na kubadilishana naye mawazo.
View attachment 2162933
Kila kitu hakikosi changamoto mkuu Ndio changamoto za JF hizo si unajua Tena mdau!Wapunguze kufuta na kuunganisha nyuzi kama wanataka kufika level za Facebook na Twitter
Serikali ikishaweka mkono wake, sahau "a place where we dare to talk openly"Lakin mi uwa najiuliza kwanini kama taifa tusijaribu kuifanya jf uwe mtandao mkubwa serikali iunge mkono na kuisupport hata rais awe na account hapa analeta mada tunajadili kama nchi zingne zilivyoifanya Twitter ikawe kubwa duniani?nawaza tu na najiuliza tu.VIvA JF viva go go go[emoji3589]
Serikali ikishaweka mkono wake, sahau "a place where we dare to talk openly"
Unajuaje kama hana??Lakin mi uwa najiuliza kwanini kama taifa tusijaribu kuifanya jf uwe mtandao mkubwa serikali iunge mkono na kuisupport hata rais awe na account hapa analeta mada tunajadili kama nchi zingne zilivyoifanya Twitter ikawe kubwa duniani?nawaza tu na najiuliza tu.VIvA JF viva go go go[emoji3589]
Ni jambo jema.
Vipi, uamuzi wa kufunga ubalozi wao ifikapo 2024, upo pale pale au wamaeghairi?
Hajaisifia chadema?Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Balozi Mette Norgaard Spandet jana 23/03/2022, alifika kwenye ofisi za JF Jjijini Dar es Salaam na kukutana na viongozi na wafanyakazi kwa lengo la kujionea namna mtandao huo unavyofanya kazi.
Ambako alikutana pia na Mkurugenzi wa JamiiForums na kubadilishana naye mawazo.
View attachment 2162933
Nakusalimu malkia... Tujiandae kwa zama mpya za utawala wa kikomunisti duniani
Salamu zimefika, aah sidhani kama hilo litafikia huko! Mi naona propaganda tuNakusalimu malkia... Tujiandae kwa zama mpya za utawala wa kikomunisti duniani
Mabeberu wameshashindwa mchezoni