Balozi wa Israel nchini Kenya adai Kenya inaongozwa na magenge ya wahuni, aipongeza Tanzania

Tony254, njoo huku ujibu hoja za huyu mtu mweupe, aliposema Muthama kwamba Kenya lazima ijifunze toka Tanzania, hamkutaka kumsikiliza kwasababu ni ngozi nyeusi, huyu mweupe amerudia Yale Yale ya Muthama, kwasababu Kenya MTU mweupe ni zaidi ya MUNGU kwenu, ninadhani mtatekeleza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…