Shambaboy jogoli
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 1,223
- 1,627
Kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji, huyo balozi aache kutumika na chadema,! Wansanchi tushaamua chandimu kuipiga chini!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uovyo ovyo wenu hata mtoto wa darasa la tatu anaujua in and outCDM bwana mafisadi wakiwa kwao wanawabadilisha jina, anakuwa mbeba-maono (Mr PM Mstaafu), hiki chama kina watu wanaobadilika-badilika sana kuliko kasi ya mmeto wa indiketa. Nani atawaamini basi???
Hiyo tume mtaidaia wapi mlishindwa bungeni kwa kususasusa!Labda tujipange kudai Tume Huru lakini sio kushiriki chaguzi tena chini ya hii tume.
Mkuu, mbona kama unakumbuka shuka baada ya jogoo kuwika mara nne?Kaangalie na comments kwa Hussein Bashe baada ya ku-tweet: "mitano tena kwa Magufuli".
Umesahau "s"People power
Hakuna WA hovyo Kama waliosema tunaomtunainia Mungu kupapambana na corona ni "Idiots"ccm bwana mabeberu wakiwa kwao wanabadilishwa jina, anakuwa mwekezaji,
hiki chama kina watu wa hovyo hovyo sana
Huyu mtu inaonekana kabisa ni mmoja wao waliotumbuliwa bila ganzi, sasa ana weweseka, anatamani litokee lolote ile ili mradi ile hali ya zamani imrudie tena.Hivi wewe huna lingine la kufanya zaidi ya kulia lia mtandaoni usiku na mchana?
Itoshe Tu kusema kuwa mleta mada hajaelewa alichoongea balozi wa USA... namshauri atafute mkalimani amsomee hiyo tweet
Mtu wewe, hivi umeelewa kweli MAUDHUI ya hiyo kauli ya balozi?
Kitendo cha Balozi wa USA kuhudhuria kuapishwa kwa Raisi wa JMTZ 2020/25 maana yake ni kwamba, USA inatambua Uchaguzi kuwa halali na Magufuli ni Raisi halali wa JMTZ 2020/25, hakuna zaidi ya hapo!
Hivi mna vichwa vya namna gani? Mbona kasema wazi kwenye kauli yake kuhusu msimamo wake?
Tumeshawazoea Malalamiko FCLabda tujipange kudai Tume Huru lakini sio kushiriki chaguzi tena chini ya hii tume.
Hilo swali inabidi ulijibu wewe labda, Serikali ya USA imealikwa kwenye shughuli ya kuapishwa kwa Raisi wa JMTZ na USA imekubali mwaliko na kuhudhuria, maana yake ni kwamba serikali ya USA inatambua kwamba Raisi wa JMTZ 2020/25 ni Pombe Magufuli (PhD) , hayo mengine yoote yanazungumzika, na wala siyo ishu, na haijalishi kaposti nini twira au sijui facebook, kitendo cha yeye kuhudhuria ni action, kitendo cha yeye kupost maandishi ni maneno matupu, nafikiri unatambua tofauti hapo kati ya action na maneno, ...
Yeye kasema wazi ni mahusiano ya "nchi" (Amerika + Tanzania) . hakutaja chochote kuhusu "serikali" (si ya Tz wala ya USA) sembuse kumtaja "Raisi"! Hii ikusaidie kufungua macho kwamba kwenye hili hatua zozote watakazo chukua watashughulika na "individuals" na sio "nchi"! Usishangae kesho au kesho kutwa "Raisi wa JMT" na waandamizi wake wakafutiwa vibali vya kukanyaga USA na chi washirika wake! Stay tuned!
Nimeshakwambia ni lazima ujifunze kutofautisha kati ya action na maneno, siku zote usisikilize maneno angalia actions, unafikiri Balozi wa USA Venezuela anaweza kuhudhuria kuapishwa kwa Maduro ambaye USA haimtambui kama mshindi wa Uraisi? Seriklai ya USA haiuwezi kuhudhuria kuapishwa kwa Raisi wa nchi ambaye haimtambui kama ni Raisi halali wa nchi hiyo.
Hivyo angalia action na siyo kusikiliza maneno, ninyi mnalishwa maneno na huyo Balozi lkn vitendo vyake ni tofauti, gat it ?
Hawa watu ni "diplomats" na sio "makada" kama sisi tufanyavyo! Kila neno analo andika lina maana sana! Ni kwa mantiki hiyo kaweka bayana kwamba "ushiriki" wake usipewe tafsiri kuwa anakubaliana na hicho kilicho pelekea shughuli ya leo ikawepo. Bado machinery zao zinaendelea kuchimbua kujua nani alishiriki nini na wapi! Kuwa mpole usubirie matokeo kabla ya kuendekeza ushabiki wa kikada.