TZ-1 JF-Expert Member Joined Sep 28, 2020 Posts 4,321 Reaction score 7,501 Jan 2, 2025 #41 Umeme hauja katk this time
UMUGHAKA JF-Expert Member Joined Sep 1, 2021 Posts 2,753 Reaction score 12,932 Jan 2, 2025 #42 Wakati anayasema hayo maneno amebubujikwa na machozi ya furaha? Kama hajabubujikwa na machozi ya furaha huyo ametupanga tu,au nasema uongo kipenzi Cha mama ? Lucas Mwashambwa
Wakati anayasema hayo maneno amebubujikwa na machozi ya furaha? Kama hajabubujikwa na machozi ya furaha huyo ametupanga tu,au nasema uongo kipenzi Cha mama ? Lucas Mwashambwa
CHIEF PRIEST JF-Expert Member Joined Dec 13, 2021 Posts 11,635 Reaction score 21,347 Jan 2, 2025 #43 Retired said: "Mpuuz," naye amekuwa chawa sijui, kwahiyo ni nzuri kuliko ya Sweden, Norway, Finland and the like Click to expand... Usikute hayo ni maneno ya johnthebaptist mwenyewe
Retired said: "Mpuuz," naye amekuwa chawa sijui, kwahiyo ni nzuri kuliko ya Sweden, Norway, Finland and the like Click to expand... Usikute hayo ni maneno ya johnthebaptist mwenyewe