Balozi wa Marekani, Michael Battle: Nchi haiwezi kusimama pekee yake

Balozi wa Marekani, Michael Battle: Nchi haiwezi kusimama pekee yake

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
08 October 2024
Dar es Salaam, Tanzania



Balozi wa Marekani nchini Tanzania, mheshimiwa Dr. Michael Anthony Battle, Sr. katika mahojiano exclusive kabisa na mtangazaji nguli Salim Kikeke wa Crown Media ya Tanzania.

Balozi huyo anayewakilisha maslahi ya nchi yake na pia misaada inayotokana na kodi walizolipa watu wa Marekani kugharamia miradi kibao nchini hivyo Marekani kuwa mdau mshirika wa maendeleo ya Tanzania ...

Miradi ya ubia kati ya sekta binafsi na ya umma almaarufu PPP ni muhimu kwa Tanzania ...

Pia Marekani kwa kipindi cha miaka 20 sasa imefadhili kiasi cha dollar 7.5 bilioni kama gift (zawadi) bila deni kwa Tanzania , pia kiasi cha fedha za kigeni 350 milioni dollars moja kwa moja kwa CRDB Bank to talk more risk kmahsusi kwa vijana

Balozi Dr. Michael Anthony Battle, Sr. anatiririka na kufunguka mengi ...Julius Nyerere pia alikubali ujamaa na kujitegemea uèndane na maendeleo ya mtu mmoja mmoja kuendesha biashara na shughuli za kiuchumi ..
 
Hizo dola 320M zitakazotolewa na USA kupitia CRDB kwa ajili ya vijana kukopa ili kufungua au kuendeleza biashara zao, tusishangae "chawa wa mama wa CCM" kama Tlaatlaah au Joseph Ludovick au Lucas Mwashambwa au chiembe au Dr Akili na mengine yenye sura kama hizi, yakaanza kupayuka hovyo kusema "Rais Samia katoa $320M mikopo kwa vijana"

Mijamaa hii ni miongo na haina hata chembe ya aibu kudanganya waziwazi ili mradi yanapata kipato cha udhalimu ili kuvimbisha matumbo/vitambi vyao na kuwaambukiza watoto na wake zao laana na mikosi siku zao za maisha yao hapa duniani...
 
08 October 2024
Dar es Salaam, Tanzania


View: https://m.youtube.com/watch?v=5Acw2Qxhq1c

Balozi wa Marekani nchini Tanzania, mheshimiwa Dr. Michael Anthony Battle, Sr. katika mahojiano exclusive kabisa na mtangazaji nguli Salim Kikeke wa Crown Media ya Tanzania.

Balozi huyo anayewakilisha maslahi ya nchi yake na pia misaada inayotokana na kodi walizolipa watu wa Marekani kugharamia miradi kibao nchini hivyo Marekani kuwa mdau mshirika wa maendeleo ya Tanzania ...

Miradi ya ubia kati ya sekta binafsi na ya umma almaarufu PPP ni muhimu kwa Tanzania ...

Pia Marekani kwa kipindi cha miaka 20 sasa imefadhili kiasi cha dollar 7.5 bilioni kama gift (zawadi) bila deni kwa Tanzania , pia kiasi cha fedha za kigeni 350 milioni dollars moja kwa moja kwa CRDB Bank to talk more risk kmahsusi kwa vijana

Balozi Dr. Michael Anthony Battle, Sr. anatiririka na kufunguka mengi ...Julius Nyerere pia alikubali ujamaa na kujitegemea uèndane na maendeleo ya mtu mmoja mmoja kuendesha biashara na shughuli za kiuchumi ..

Huyo anatafuta mwanya wa kuongeza spidi ya kuhamasisha ushoga.
 
Hizo dola 320M zitakazotolewa na USA kupitia CRDB kwa ajili ya vijana kukopa ili kufungua au kuendeleza biashara zao, tusishangae "chawa wa mama wa CCM" kama Tlaatlaah au Joseph Ludovick au Lucas Mwashambwa au chiembe au Dr Akili na mengine yenye sura kama hizi, yakaanza kupayuka hovyo kusema "Rais Samia katoa $320M mikopo kwa vijana"

Mijamaa hii ni miongo na haina hata chembe ya aibu kudanganya waziwazi ili mradi yanapata kipato cha udhalimu ili kuvimbisha matumbo/vitambi vyao na kuwaambukiza watoto na wake zao laana na mikosi siku zao za maisha yao hapa duniani...
Jiamini
 
Hizo dola 320M zitakazotolewa na USA kupitia CRDB kwa ajili ya vijana kukopa ili kufungua au kuendeleza biashara zao, tusishangae "chawa wa mama wa CCM" kama Tlaatlaah au Joseph Ludovick au Lucas Mwashambwa au chiembe au Dr Akili na mengine yenye sura kama hizi, yakaanza kupayuka hovyo kusema "Rais Samia katoa $320M mikopo kwa vijana"

Mijamaa hii ni miongo na haina hata chembe ya aibu kudanganya waziwazi ili mradi yanapata kipato cha udhalimu ili kuvimbisha matumbo/vitambi vyao na kuwaambukiza watoto na wake zao laana na mikosi siku zao za maisha yao hapa duniani...
Ni kwasababu ya kuaminika kwa Rais na kipenzi cha waTanzania Dr.Samia Suluhu Hassan duniani, ikiwa ni pamoja na huko Marekani, Neema na Baraka za Mungu zina tiririka kwa namna mbalimbali, kwa ajili ya makundi mbalimbali nchini...

Kupitia nia na dhamira njema ya Dr.Samia Suluhu Hassan kwa vijana na makundi mengine mbalimbali nchini, matamanio na ndoto ya kila moja, ni kutimiza ndoto na matarajio yake ya maisha wakati Dr.Samia Suluhu Hassan akiwa ndiyo mkuu wa nchi, na Mungu nae anamwaga Baraka zake kwa namna yake...

Ni kwa maelekezo ya mkuu wa nchi, na Rais Dr Samia Suluhu Hassan, kila muhusika anaestahili, atakae timiza vigezo na masharti, basi ni dhahiri atanufaika na mpango wowote ule muhimu chini ya serikali sikivu ya CCM na si vinginevyo 🐒
 
Ni kwasababu ya kuaminika kwa Rais na kipenzi cha waTanzania Dr.Samia Suluhu Hassan duniani, ikiwa ni pamoja na huko Marekani, Neema na Baraka za Mungu zina tiririka kwa namna mbalimbali, kwa ajili ya makundi mbalimbali nchini...

Kupitia nia na dhamira njema ya Dr.Samia Suluhu Hassan kwa vijana na makundi mengine mbalimbali nchini, matamanio na ndoto ya kila moja, ni kutimiza ndoto na matarajio yake ya maisha wakati Dr.Samia Suluhu Hassan akiwa ndiyo mkuu wa nchi, na Mungu nae anamwaga Baraka zake kwa namna yake...

Ni kwa maelekezo ya mkuu wa nchi, na Rais Dr Samia Suluhu Hassan, kila muhusika anaestahili, atakae timiza vigezo na masharti, basi ni dhahiri atanufaika na mpango wowote u muhimu chini ya serikali sikivu ya CCM na si vinginevyo 🐒
Ila Kuna watu mna vipaji, sijui mnalipwa shilingi ngapi kwa siku/wiki. Mimi hata unilipe kiasi gani siwezi kujitoa ufahamu kusifia mtu asubuhi, mchana,usiku 24/7, nadhani kuna nati kichwani zimelegea. Mnasifia hadi watu wanavyotekwa na kupotea. Kuna yule MuwashaMbwa huyo ndo Airtel inasoma Tigo, dishi limeyumba.
 
Huyo anatafuta mwanya wa kuongeza spidi ya kuhamasisha ushoga.
Nimegundua Mafalla wengi bongo wanapenda kuwekewa, huyu balozi hajataja huo upuuzi halafu lipopobawa linakurupuka kuutaja hapa...aibu yako ewe ndege joni
 
Ila Kuna watu mna vipaji, sijui mnalipwa shilingi ngapi kwa siku/wiki. Mimi hata unilipe kiasi gani siwezi kujitoa ufahamu kusifia mtu asubuhi, mchana,usiku 24/7, nadhani kuna nati kichwani zimelegea. Mnasifia hadi watu wanavyotekwa na kupotea. Kuna yule MuwashaMbwa huyo ndo Airtel inasoma Tigo, dishi limeyumba.
ni kama mimi tu ambae siwezi kua na mihemko wala ghadhabu kabisa kwa mtu ambae hana mawazo mapya wala fikra mbadala, ila ana makasiriko na kulalamika tu bila sababu ya maana, ispokua baada ya ukweli kuwekwa bayana 🤣
 
Eti nchi yetu ipo huru..
Uhuru wakati unakopaa na bado unapewa mashart
 
..hizo fedha za Crdb zisiletwe mpaka Ccm wakubali mambo matatu.

1. Tume Huru ya Uchaguzi.

2.Katiba Mpya.

3. Tume ya haki, ukweli, na maridhiano.
 
Pia Marekani kwa kipindi cha miaka 20 sasa imefadhili kiasi cha dollar 7.5 bilioni kama gift (zawadi) bila deni kwa Tanzania , pia kiasi cha fedha za kigeni 350 milioni dollars moja kwa moja kwa CRDB Bank to talk more risk kmahsusi kwa vijana
 
Hizo dola 320M zitakazotolewa na USA kupitia CRDB kwa ajili ya vijana kukopa ili kufungua au kuendeleza biashara zao, tusishangae "chawa wa mama wa CCM" kama Tlaatlaah au Joseph Ludovick au Lucas Mwashambwa au chiembe au Dr Akili na mengine yenye sura kama hizi, yakaanza kupayuka hovyo kusema "Rais Samia katoa $320M mikopo kwa vijana"

Mijamaa hii ni miongo na haina hata chembe ya aibu kudanganya waziwazi ili mradi yanapata kipato cha udhalimu ili kuvimbisha matumbo/vitambi vyao na kuwaambukiza watoto na wake zao laana na mikosi siku zao za maisha yao hapa duniani...
Kama ulipanua mdomo kusema serikali imetaka maana yake una kubali kila kitu ni serikali.
 
Back
Top Bottom