Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii ndiyo justification ya kuua wapinzani kwa risasi??Huko kwao ndio kimenuka zaidi,
Wewe, awe Rais au asiwe Rais unafaidika na kupoteza nini ?!. Huyo Seif amewahi kushika vyeo huko Ccm, ambavyo wewe na umbumbumbu wako huwezi kuzishika .Si ameandika tu uko tweeter,kuandika awajaanza leo,wino upo wakutosha acha waandike tu.ila ukweli utabaki palepale mzee Sief awezikuwa Rais wa Zanzibar hata iweje.
Wakati jana mnafurahia video za wahuni wachache wakiwapopoa polisi na matofari mlijiuliza polisi mwenye ak 47 akiamua kujibu matokeo yake yatakuwaje...hii ndiyo justification ya kuua wapinzani kwa risasi??
Akina Nyerere wangelikuwa na akili mbovu kama zako. Wangelijali ualimu waoKwa mwenye akili
Ni bora na salama kwa ww kuridhika na Ugali unao upata kila siku...
Ipo wapi?Kwa mwenye akili
Ni bora na salama kwa ww kuridhika na Ugali unao upata kila siku...
Jiwe ameharibu nchi yetu sana aburuzwe mahakama za kimataifa.Si ameandika tu uko tweeter,kuandika awajaanza leo,wino upo wakutosha acha waandike tu.ila ukweli utabaki palepale mzee Sief awezikuwa Rais wa Zanzibar hata iweje.