Uchaguzi 2020 Balozi wa Marekani nchini ashitushwa na kusikitishwa na matukio ya uonevu wa Vyombo vya Dola dhidi ya wananchi Zanzibar na kwingineko Tanzania

Uchaguzi 2020 Balozi wa Marekani nchini ashitushwa na kusikitishwa na matukio ya uonevu wa Vyombo vya Dola dhidi ya wananchi Zanzibar na kwingineko Tanzania

Ushahidi wa unyanyasaji wa watawala dhidi ya wananchi uzidi kukusanywa ili wakawajibishwe ICC.
Hakuna aliye juu ya sheria, na kila anayetumia nguvu ya dola bila sababu ili kuwa madarakani kwa nguvu hana budi kushughulikiwa ipasavyo
 
Ukisikia kuomba jamvi msibani ndio huku...unajipeleka barabarani ili upigwe na video zako zitumwe kwa mabawana wakubwa nchi yako iwekewe vikwazo, na wakati huo huo kwa bwana mkubwa wapo wanapakana matope na email za siri za wagombea, matangazo ya kampeni ya kuitana mazombie, polisi wakitandika waandamanaji Chicago, China ikiwaminya mbavu kwenye biashara, deni kubwa la kupambana na vmafua....nk
Kwa taarifa za wafanya fujo huu mwaka wana bahati mbaya,
 
Acha Upuuzi dogo
Ipo wapi?

Acheni Propaganda za amani. Nchi zaidi ya 50 za Africa karibu zote zina amani na watu wanakaa kwa utulivu. Msitusimangie amani as if dunia nzima ipo vitani.

Nchi za Africa ya kaskazini zilikuwa hivi hivi tulivu hadi vijana walipoamua kufanya mabadiliko kwa nguvu ndio wakajua kumbe walikuwa wamekalia fukuto!
 
Kila mwenye akili timamu lazima atalaani kinachotokea,lakini cha ajabu kuna mjinga mmoja mwenye mahaba niue kwa jiwe atasema mabeberu wanatuingilia mambo yetu
chukua jiwe tu kawapige FFU kitu ganii...halafu waambie hata sisi tunammind mmarekani kuwaonea waafrika wenzetu
 
Nyie jana si mmewachokoza police kwa kuwarushia mawe,wakina mange kimange wakawa wanawavimbisha mabichwa yenu..sasa police wamewafinya kidogo mnaanza kulialia.
 
Wakati jana mnafurahia video za wahuni wachache wakiwapopoa polisi na matofari mlijiuliza polisi mwenye ak 47 akiamua kujibu matokeo yake yatakuwaje...
Wewe msukule,hakuna polisi mwenye AK 47.
 
Ukisikia kuomba jamvi msibani ndio huku...unajipeleka barabarani ili upigwe na video zako zitumwe kwa mabawana wakubwa nchi yako iwekewe vikwazo, na wakati huo huo kwa bwana mkubwa wapo wanapakana matope na email za siri za wagombea, matangazo ya kampeni ya kuitana mazombie, polisi wakitandika waandamanaji Chicago, China ikiwaminya mbavu kwenye biashara, deni kubwa la kupambana na vmafua....nk
Kwa taarifa za wafanya fujo huu mwaka wana bahati mbaya,
Ndo mnavyojiaminisha huko Lumumba??
 
Back
Top Bottom