Uchaguzi 2020 Balozi wa Marekani nchini ashitushwa na kusikitishwa na matukio ya uonevu wa Vyombo vya Dola dhidi ya wananchi Zanzibar na kwingineko Tanzania

Nyie wachokozeni polisi , mtaelewa!
Ngoja wamalize kupiga kura kwanza
 

Attachments

  • FB_IMG_1603789649796.jpg
    38 KB · Views: 3
Jiwe ameharibu nchi yetu sana aburuzwe mahakama za kimataifa.
Mnaongeaga tu kuhusu mahakama za kimataifa ila amjui lolote.

Kaulizeni wananchi wa Rwanda,Burundi,Uganda,Congo kwanini marais wao hawajapelekwa hizo mahakama za kimataifa ilhali wameuwa maelfu ya watu badala yake wanakaribishwa kwenye hizo nchi za mabeberu kwenda kula good time.
 
Wakati jana mnafurahia video za wahuni wachache wakiwapopoa polisi na matofari mlijiuliza polisi mwenye ak 47 akiamua kujibu matokeo yake yatakuwaje...
Kwann polisi wafanye hivyo? Kuna madhara risasi ikikosea njia. Wahalifu hawaadhibiwi kwa kuuliwa.
 

Mungu atulinde sisi na nchi yetu

Tukumbuke

Hakuna wa kumpenda mTanzania bila bila kuwapo kwa Tanzania

Hakuna wa kuipenda Tanzania bila kuwapo madini, mafuta, gas, bahati, maziwa, milima, mbugazetu na wanyama, ardhi yenye rutuba, mito n.k
 
ICC angeenda kwanza Kagame,Nkuruvinza,Kabila na Musseven waliowa maelfu ya watu.kama kweli ICC ingekuwa Active.
Kwani makosa ya jinai yana time limit??? Kwa walio hai wataenda tu, saivi tunaanza na magufuli na mwinyi
 
Huyu beberu hajawaasa hata kinafiki raia wahalifu wanaofanya fujo, yaani ndo zao hawa kikinuka anakuja kuchukuliwa na dege la kimarekani na watumishi wenzake.
 
Halafu siku zote huo ubalozi ndo kimbelembele sana. Walileta chokochoko sana syria sasa wametuliza matako yao
 
Kwani makosa ya jinai yana time limit??? Kwa walio hai wataenda tu, saivi tunaanza na magufuli na mwinyi
Aaa wapi,,kwani nini cha ajabu kipya,mbona Mkapa alipiga pini na akuna cha mahakama ya mwanzo wala cha ICC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…