Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
SwadaktaNi wazi JF inaheshimika na kutambulika zaidi ya media nyingi hapa Tanzania, sasa JF waangalie uwezekano wa kuanzisha magazeti, luninga, na radio station yao.
Hizi ziara za hawa mabalozi zinaonesha vile kizuri kinavyojiuza...
Binafsi nimemdharau na.kumpuuza huyu jamaa. Achana nae tu.Ni mawazo yako yaliyopitwa na wakati
Unafikiri ule ubalozi wa Marekani Tanzania ulijengwa na pesa za Babu yako?
Kama Balozi hatambuliki zile chanjo za korona zilitolewa kwa msaada zilitoka Marekani au kwenye Familia yako hapo Mbezi ya Tangi bovu
Unafahamu maana ya Balozi, Balozi ni muwakilishi wa Rais Katika nchi husika
Huyo Balozi ndiye muwakilishi wa Biden hapa Tanzania, Raia wa Marekani kufahamu au kutokufahamu inategemea kama wana lengo la kuja Tanzania au kuna tukio kubwa sana Tanzania
Obama alivyofika Tanzania, alifikia nyumbani kwenu hapo Tangi bovu au alielekea kwenye ubalozi wake kwanza
Kuna watu wazima humu jamii forum lakini wana mawazo ya kipuuzi na kipumbavu sana
Mimi mtanzania sina lengo la kwenda Iraq, Syria, Somalia, Au Cambodia,. Nianze kuulizia mabalozi wa huko kwa faida gani?
Balozi ana kazi zake maalum na hapo kwenda jamii forum ana mambo anayotaka kujifunza na kuyaona ili ajiongezee maarifa na uzoefu Katika maisha yake
Wewe Nyani ngabu una mfahamu Balozi wa Tanzania huko uzebakstan? au nchi ya Tajikstan?
Sasa Mimi nimeishia huko uzebakstan na Balozi anayesimamia huko namfahamu vizuri toka Tanzania, Watu ambao hawana mpango wa kwenda huko uzebakstan wamtafute Balozi wa kazi gani?
Wale Makatili walitaka kuifuta sasa wamekimbilia Kongo MUNGU ni mwema...Heshima kubwa sana hii.
Hakuna mzungu anaefanya jambo lake Kwa bahati mbaya.
Jf ni nzito sana na kama kumbukumbu zangu ziko sahihi kipindi cha uongozi wa Hayati Magufuli Melo alikuwa akisumbuliwa sana juu ya JF nafikiri ni Kwa sababu ya uzito wa Jf na watu wake.
Mambo ni mengi😄😄huwezi jua labda ndio baraka zenyewe.
👊🏿👊🏿👊🏿
Kwani Baraka ni nini?Hebu fafanua kidogo, baraka za nini.
Kaka MM na team nzima ya JF, kwa mara nyingine tena Hongereeni sana!!View attachment 2107919
Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Mhe. Donald Wright leo Februari 4, 2022 ametembelea Ofisi za JamiiForums na kukutana na watendaji na mwakilishi wa Bodi ya Wakurugenzi
Balozi Wright na timu yake wamepata kuelezwa namna Jamii Forums ambayo ni Asasi ya Kiraia inavyoendesha shughuli zake katika kufanya uchechemuzi wa Haki za Kidijitali, Uwajibikaji, Demokrasia na Utawala Bora nchini Tanzania
View attachment 2107923View attachment 2107924View attachment 2107925
View attachment 2107922
Balozi ametoa ahadi gani kwa JF?
Bwahahahahahahaa, hii sasa ni kumi bila, KNOCK-OUT kabisa.Ni mawazo yako yaliyopitwa na wakati
Unafikiri ule ubalozi wa Marekani Tanzania ulijengwa na pesa za Babu yako?
Kama Balozi hatambuliki zile chanjo za korona zilitolewa kwa msaada zilitoka Marekani au kwenye Familia yako hapo Mbezi ya Tangi bovu
Unafahamu maana ya Balozi, Balozi ni muwakilishi wa Rais Katika nchi husika
Huyo Balozi ndiye muwakilishi wa Biden hapa Tanzania, Raia wa Marekani kufahamu au kutokufahamu inategemea kama wana lengo la kuja Tanzania au kuna tukio kubwa sana Tanzania
Obama alivyofika Tanzania, alifikia nyumbani kwenu hapo Tangi bovu au alielekea kwenye ubalozi wake kwanza
Kuna watu wazima humu jamii forum lakini wana mawazo ya kipuuzi na kipumbavu sana
Mimi mtanzania sina lengo la kwenda Iraq, Syria, Somalia, Au Cambodia,. Nianze kuulizia mabalozi wa huko kwa faida gani?
Balozi ana kazi zake maalum na hapo kwenda jamii forum ana mambo anayotaka kujifunza na kuyaona ili ajiongezee maarifa na uzoefu Katika maisha yake
Wewe Nyani ngabu una mfahamu Balozi wa Tanzania huko uzebakstan? au nchi ya Tajikstan?
Sasa Mimi nimeishia huko uzebakstan na Balozi anayesimamia huko namfahamu vizuri toka Tanzania, Watu ambao hawana mpango wa kwenda huko uzebakstan wamtafute Balozi wa kazi gani?