Balozi wa Marekani nchini Tanzania atembelea Ofisi za JamiiForums

Balozi wa Marekani nchini Tanzania atembelea Ofisi za JamiiForums

Ni wazi JF inaheshimika na kutambulika zaidi ya media nyingi hapa Tanzania, sasa JF waangalie uwezekano wa kuanzisha magazeti, luninga, na radio station yao.

Hizi ziara za hawa mabalozi zinaonesha vile kizuri kinavyojiuza...
nashangAa hawana hata online tv, halafu fursa hiyo wanaimudu JF TV
 
Tayari mtandao huu ndiyo kimbilio la wengi wenye kiu ya habari, hivyo basi JamiiForums tuendelee kuwa kisima cha habari za aina zote ili nafasi yetu ya mbele kabisa kama mtandao namba moja uwe endelevu.

Pongezi kwa Maxence Melo pamoja na team yake nzima wanaoundesha mtandao wa JamiiForums pamoja na wote walio registered Jamiiforums users na wageni wote wasomaji wanaoufanya mtandao huu kuwa hivi ulivyo.
 
Haya ndo mambo yanayonipigishaga ban sasa,hapa tu kanafsi kanarukaruka niseme kuhusu mod mpiga ban..[emoji1787]

Kwa leo naacha fujo wacha nizungumzie swala kubwa niachane na maswala madogomadogo!.
Jf juu lazima tutoboe kimataifa au mnasemaje mods..?
Dogo Jf ni Twitter ya badae believe me
 
Hapo kwenye hiyo picha ya wafanya kazi ni yupi hutupiga ban humu....ha ha ha!!
Big up sana JF, ni mtandao kijamii mzuri sana huu.
 
Back
Top Bottom