Pre GE2025 Balozi wa Marekani: Nimeongea na rafiki yangu Sugu kipigo alichopata hakikubaliki, ninalaani kwa nguvu zote

Pre GE2025 Balozi wa Marekani: Nimeongea na rafiki yangu Sugu kipigo alichopata hakikubaliki, ninalaani kwa nguvu zote

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sugu siyo nickname ni jina la kisanii.

Jay Z ameitwa hivyo na Obama.

Nafikiri upo shallow juu ya sanaa ya Tz ndiyo maana unahisi ni nickname

obama alimuita jay z kwenye mazingira gani? US government ikitoa statement kuhusu jay z wataandika government name yake sean carter, au huwezi kuona US governement wakaandika tu p diddy kama ni official government statement wataandika sean combs lkn kama ni utani na comedy anaweza kusema p didy …
 
Tanzania kuna vilaza wa kutupwa.
Huyo naye ni mmojawapo.
Sugu siyo nickname ni jina la kisanii.

Jay Z ameitwa hivyo na Obama.

Nafikiri upo shallow juu ya sanaa ya Tz ndiyo maana unahisi ni nickname
 
Ukisoma Makala ya kigogo media utacheka upasuke 😂😂😂😂

Sugu ni wakala wao na Marekani ni kama kwao Sasa amesuguliwa kweli kweli sijui atarudi kugombea au ndio Kwa heri 🤣🤣🤣🤣
Una maana Tulia ana mkono katika hicho kipondo? Awadhi anangojea kuapishwa tu kuwa IGP
 
Tanzania haiongozwi kwa amri kutoka Washington, Brussels wala 10 Downing street. Hatuko chini ya Duke of Edinburgh...🙏🙏🙏
USAID zipo hadi chumban kwa mama yako ,ikiwa mlisha likubali hilo basi mkubali kupangiwa maisha,
 
Balozi wa Marekani nchini ameongea Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi aka Sugu na kusema kipigo alichopata akiwa Kizuizini hakikubaliki na Marekani inalaani kwa nguvu zote


Mlale Unono 😀😀
Ila hilo dudu Awadhi atakuwa na maisha mafupi sana baada ya hilo tukio, Dhuluma huwa haina Kinga ya kuadhibiwa na Mungu wetu wa ukweli
 
Nadhani Sugu alimtamkia awadhi maneno flani ya kejeli jamaa adrenaline ikapanda si unamjua Sugu anaweza kukuumiza tu kwa kuongea.
Hili nilijaribu kufikiria pia, maana Sugu ana maneno ya shombo na kukera mno, refer kipindi akiwa bungeni, no wonder kati ya wote yeye pekee ndio awe mahututi.
 
USAID zipo hadi chumban kwa mama yako ,ikiwa mlisha likubali hilo basi mkubali kupangiwa maisha,
Tujadili kwa heshima basi! Mamangu au mama wako wewe ambaye ni sawa wanaingiaje? Kwakuwa nina maadili mema nikuhakikishie namheshimu mama yako kama ninavyo mheshimu mama yangu. Issue ni # Tanzania haipangiwi mambo yake. Tujadili wenyewe na kutafuta suluhu. 🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom