Tetesi: Balozi wa Rwanda nchini Afrika Kusini kutimuliwa!

Tetesi: Balozi wa Rwanda nchini Afrika Kusini kutimuliwa!

Mwaka 1990 Kagame alishakuwa kamanda wa RPF amevamia Rwanda huko acha kamba.
Hata kabila (baba) yake alikuwa hapa hapa ilala, walifanya shughuli zao hapa na organization zao,na mikutano yao ya faragha, huku mengine yakiendelea huko makwao, hawakufanya mipango wakiwa site hapana.
 
Hata kabila (baba) yake alikuwa hapa hapa ilala, walifanya shughuli zao hapa na organization zao,na mikutano yao ya faragha, huku mengine yakiendelea huko makwao, hawakufanya mipango wakiwa site hapana.
Kabila inajulikana alikuwa Dar watu wengi tunajua.

Joseph mwanawe kasoma Zanaki jioni na watu aliosoma nao mpaka leo wengine wapo Dar wanamjua.

Hiyo Kagame umemuonaje wewe peke yako? Kwani hapa hakuna watu wa Ilala?

1990 Kagame alikuwa anapigana Rwanda, sasa muda huo huo anapigana Rwanda halafu anakaa Ilala tena?
 
Enzi za Nyerere hii ilikuwa stage two ya vita - kutafutiwa majina mabaya for public support. Angeitwa nduli, paka shume, jangili, liuwaji, etc

ikishawaingia wananchi akilini angeandaa audience pembezoni kabisa huko kuongea na warina asali na angetumia nafasi hiyo kutangaza vita.

Zile phrases tatu - sababu tunayo, uwezo tunao, na nia tunayo alizitolea Songea na ndio vita na Nduli Idd Amin Dada ikawa imetangazwa rasmi!
Nyerere alikuwa CIA yule.
 
Kabila inajulikana alikuwa Dar watu wengi tunajua.

Joseph mwanawe kasoma Zanaki jioni na watu aliosoma nao mpaka leo wengine wapo Dar wanamjua.

Hiyo Kagame umemuonaje wewe peke yako? Kwani hapa hakuna watu wa Ilala?

1990 Kagame alikuwa anapigana Rwanda, sasa muda huo huo anapigana Rwanda halafu anakaa Ilala tena?
Kagame wakati huo alikuwa na Museveni Uganda kumbuka
 
Kufuatia mauaji ya Askari 14 wa Jeshi la Afrika Kusini SANDF waliouawa na M23 (wanaosaidiwa na Rwanda) Wanasiasa nchini A/Kusini akiwemo Kiongozi wa EFF Julius Malema anashinikiza ubalozi wa Rwanda pale Pretoria ufungwe mara moja na Wanadiplomasia (akiwemo) Balozi afurushwe.
=============
Malema calls for closure of Rwandan embassy, blames Kagame for deaths of SANDF soldiers

SOURCE: https://www.news24.com/news24/polit...-kagame-for-deaths-of-sandf-soldiers-20250203
Na balozi wao pale Kigali ajiandae kufurushwa
 
Kagame wakati huo alikuwa na Museveni Uganda kumbuka
Mwaka 1990 Yoweri Museveni alimpeleka Kagame kuenda kusoma Marekani. Kutokea Uganda akiwa mkuu wa Usalama Uganda. Baada ya Paul Kagame na Fred Rwigyema kuonekana wanaanzisha vuguvugu la kushambulia Rwanda.

Sasa Mkuu wa Usalama wa Uganda aliyepelekwa kusoma Marekani anakaa Ilala tena?
 
90-93, alikuwa anakaa jirani na basata, nyumba aliyokuwa akiishi bahati ipo mpaka leo hii.
Wewe na aliyekusimulia wote ng'ombe.

Kagame mwaka 1986 aliteuliwa kuwa Chief of intelligence jeshini. Tokea hapo mpaka huo mwaka 1990 Fred Rwigyema ndipo alipofariki wakati RPF wanaenda kupigana Rwanda. Kagame akaanza kuongoza vikosi vya RPF ndani ya Rwanda.

Usituletee habari zako za kilabu cha gongo hapa.
 
Wewe na aliyekusimulia wote ng'ombe.

Kagame mwaka 1986 aliteuliwa kuwa Chief of intelligence jeshini. Tokea hapo mpaka huo mwaka 1990 Fred Rwigyema ndipo alipofariki wakati RPF wanaenda kupigana Rwanda. Kagame akaanza kuongoza vikosi vya RPF ndani ya Rwanda.

Usituletee habari zako za kilabu cha gongo hapa.
Lakini Kagame amesomea ujasusi Tanzania, ujana wake na utoto kwa asilimia kuwa ameishi Uganda.
Nadhani ni miaka ya 1970s.
Rwigyema alijiunga na Tanzania na kundi la waasi la Museveni FRONASA kumuondoa nduli Amin mwaka 1979.
Hivyo naona Kagame kama aliishi Tanzania ni miaka ya 1970s, baada ya vita ya Uganda Kagame ndipo alikwenda Kansas kwa mafunzo zaidi ya kijeshi.
 
Mwaka 1990 Yoweri Museveni alimpeleka Kagame kuenda kusoma Marekani. Kutokea Uganda akiwa mkuu wa Usalama Uganda. Baada ya Paul Kagame na Fred Rwigyema kuonekana wanaanzisha vuguvugu la kushambulia Rwanda.

Sasa Mkuu wa Usalama wa Uganda aliyepelekwa kusoma Marekani anakaa Ilala tena?
Achana na vijana wa JF, huwa wanaongelea hisia badala ya kufanya utafiti na kueleza ukweli. Kila kitu kinajulikana. Wao badala ya kusoma ili kujiongezea maarifa wanakaa kushabikia ujinga. Hawawezi hata kupata kutoka kwa watu kama hawa


View: https://www.youtube.com/watch?v=Mf6OBBC2sCE
 
Lakini Kagame amesomea ujasusi Tanzania, ujana wake na utoto kwa asilimia kuwa ameishi Uganda.
Nadhani ni miaka ya 1970s.
Rwigyema alijiunga na Tanzania na kundi la waasi la Museveni FRONASA kumuondoa nduli Amin mwaka 1979.
Hivyo naona Kagame kama aliishi Tanzania ni miaka ya 1970s, baada ya vita ya Uganda Kagame ndipo alikwenda Kansas kwa mafunzo zaidi ya kijeshi.
Kagame kasoma Uganda alikoishi tangu utoto, Marekani na Cuba. Tanzania atakuwa kaishi na hao waasi, ila kama ulivyosema sio miaka ya 80s wala 90s.
 
Back
Top Bottom