Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Balozi maarufu wa Saudia na tajiri mkubwa bwana Mohamed Al qahtan, amefariki huko jijini Cairo nchini Misri wakati akitoa hotuba yake. Mara baada ya kumsifia Rais Alsisi kwa kuashiria picha yake iliyokuwa nyuma yake kwa kusema huyu ni kiongozi wa watu wote mpaka siku ya mwisho ghafla alianguka kwa kishindo kinyume nyume na kudakwa na wenzake waliokuwa karibu naye. Alipata huduma ya mwanzo na kutolewa kupelekwa hospitali. Hata hivyo muda mfupi baadae alifariki dunia
Imeelezwa ya kuwa balozi huyu wa muda mrefu nchini humo kwa mara ya mwanzo aliugua maradhi ya moyo mwaka 2013 mara baada ya uchaguzi uliompa ushindi Mohammed Morsi.
Imeelezwa ya kuwa balozi huyu wa muda mrefu nchini humo kwa mara ya mwanzo aliugua maradhi ya moyo mwaka 2013 mara baada ya uchaguzi uliompa ushindi Mohammed Morsi.