Balozi wa Tanzania nchini Korea akanusha upotoshaji Tanzania kutoa sehemu ya Bahari na Madini


Mimi swali langu ni ... Kwa nini wanataka tuwaamini wao wakati hawajawahi kuwa wakeli hata siku moja....!!?
 
Ngoja nkija tulia ntambana classmate wangu huyu balozi
😄

Ova
 
Unampangia sio?
 
Ingieni kwenye commercial fishing
Jamani 😄
Au watanzania mnaishia kwenye uwekezaji wa biashara za maframe,bar,miziki

Ova
 
Kelele kibao hakuna la maana alilosema huyu Balozi. Samia anauza nchi huyu.mtu.
 
Ingieni kwenye commercial fishing
Jamani 😄
Au watanzania mnaishia kwenye uwekezaji wa biashara za maframe,bar,miziki

Ova
Ndio mambo tunayoyaweza imagine vyuo vyote hivi wanafunzi soko kubwa sana jumlisha na bachelors wa mtaa. Huku Tuna wamejaa baharini hakuna wavuvi.

Watanzania wenye akili ya kuvua samaki wenye stake na kuweka kwenye makopo na ku-target ilo soko. Huo muda hawana vijana huko vyuo wanashindia zege.

Bado huko kwenye mboga mboga, mbaazi mpaka India anunue wakati machine ndogo (pressure cooker) ya kuchemshia vitu kama maharage na jamii zingine za kunde haizidi hata $20,000 AliBaba. Unawachemshia mboga unawawekea kwenye makopo wanafunzi na ma-bachelor wanaunga mboga kwa dakika tano tu.

Watanzania wanachojua ni mabasi, bar, maduka, kujenga na kufanya kazi na serikali wakati nchi ina fursa kibao za kutengeneza hela nyingi tu kwenye sector ya uzalishaji.

Wacha wengine watumie tu hizo fursa mradi kuna usimamizi mzuri.
 
Sawa
 
Angekaa kimya maana hata yeye hajui chochote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…