Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji kukutana na M/kiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Bunge la EU kutoa ufafanuzi dhidi ya taarifa za upotoshaji

Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji kukutana na M/kiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Bunge la EU kutoa ufafanuzi dhidi ya taarifa za upotoshaji

Securelens

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2020
Posts
316
Reaction score
541
Katika taarifa ya habari ya Channel 10 ya usiku wa jana tarehe 20 Novemba 2020, Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji na Mwakilishi wa Tanzania kwenye Umoja wa Ulaya Mhe Jestas Abuok Nyamanga ameeleza kuwa siku ya tarehe 19 Nov alimwandikia barua Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya Mhe David Mc Allister kumwomba apewe nafasi ya kutoa ufafanuzi kwa Mwenyekiti huyo na Kamati yake dhidi ya taarifa mbalimbali za upotoshaji. Ameeleza kwenye mahojiano hayo na Channel 10 kuwa jana tarehe 20 Nov, Mwenyekiti huyo alimjibu na kukubali kukutana naye na kwamba atampangia tarehe.

20201121_011953.jpg

My take:
Kila uongo wanaotengeneza na wana Ufipa unazidi kubainika ndani na nje ya nchi. Ama kweli njia ya mwongo ni fupi
 
Tutabisha tutakataa..lakini issue kuu ya hizi conference znazohusu kujibu hoja. "Zote znatakiwa kujibu chanzo chake ambacho ni mwenendo wa uchaguzi wa 28.10.20.".Swali kwa Mtu awaye yeyote mwenye akili "Je uchaguzi ulikua huru na haki "?? If yes "Why and How ?

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Mbona uchaguzi umeisha salama na kwa uhuru na haki hadi Mr Mzungu kasepa zake kwa Bob Amsterdam???
 
Tutabisha tutakataa..lakini issue kuu ya hizi conference znazohusu kujibu hoja. "Zote znatakiwa kujibu chanzo chake ambacho ni mwenendo wa uchaguzi wa 28.10.20.".Swali kwa Mtu awaye yeyote mwenye akili "Je uchaguzi ulikua huru na haki "?? If yes "Why and How ?

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
mkulima gwakikolo, bhakonyofu, bhalemalema, bhakigili, kamwe hawawezi kujibu hili swali "Je uchaguzi ulikua huru na haki "?? If yes "Why and How ?
Wataishia kusema Tuna Vita ya uchumi
 
Salama ipi wakati mmeleta Warundi wenu waue watu Zanzibar?
Uko na mdomo wa bure na kijismatifoni cha kuazima, sasa una uhuru wa kubwabwaja lolote. Au ndo Mr Mzungu & Bob Amsteedam aliwaleta kuvuruga uchaguzi???
 
September kulikuwa na Corona? Hela nyingine Ni za mitego. Unategwa ili wakuchinje mazima
Athari za korona unazijua wewe??? By the way, bado hao jamaa zenu wanatoka huko ughaibuni kuja kugombea Tanzania, hivyo hizo Euro zao kiduchu zimetumika kupambana na mafua yao ya Korona .
 
mkulima gwakikolo, bhakonyofu, bhalemalema, bhakigili, kamwe hawawezi kujibu hili swali "Je uchaguzi ulikua huru na haki "?? If yes "Why and How ?
Wataishia kusema Tuna Vita ya uchumi
Eti palapatapalata mara conference mara balozi mara mweneza ataongea na wanahabari !!! Hilo swali lijibiwe.!!lengo ni kurudisha mshikamano wa Taifa hili kwa maana Taifa hili ni letu sote si lao peke yao. Hujuma ya Election ile imegawa mioyo wananchi vipande vipande!!Kwanini tufikie hapa??

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Tutabisha tutakataa..lakini issue kuu ya hizi conference znazohusu kujibu hoja. "Zote znatakiwa kujibu chanzo chake ambacho ni mwenendo wa uchaguzi wa 28.10.20.".Swali kwa Mtu awaye yeyote mwenye akili "Je uchaguzi ulikua huru na haki "?? If yes "Why and How ?

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Kuwa Balozi kwenye utawala huu wa Magu ni mzigo mkubwa sana!

Kwa kuwa inakubidi uwe msema uwongo hata kwenye masuala ya wazi ya ukweli!

Hivi wewe balozi unawezaje kuushuhudia uwongo kuwa uchaguzi mkuu uliopita ulikuwa huru na wa haki, wakati watu wote tulishuhudia namna uchaguzi huo ulivyovurugwa kwa kiasi cha kutisha, ambapo hata mtoto mdogo anayesoma chekechea atatoa ushihuda huo bila ya wasiwasi wowote?

Hivi kwa mfano hilo Bunge limesema kuwa wametoa pesa za msaada kwa TZ katika kupambana na ugonjwa wa Corona, sasa swali wanalouliza hao mnaowaita mabeberu, je pesa hizo zimepigwa, kwa kuwa Taifa la Tanzania limeutangazia ulimwengu kuwa Taifa hilo halina hata mgonjwa hata mmoja wa Covid 19?
 
Kuwa Balozi kwenye utawala huu wa Magu ni mzigo mkubwa sana!

Kwa kuwa inakubidi uwe msema uwongo hata kwenye masuala ya wazi ya ukweli!

Hivi kwa mfano hilo Bunge limesema kuwa wametoa pesa za msaada kwa TZ katika kupambana na ugonjwa wa Corona, sasa swali wanalouliza hao mnaowaita mabeberu, je pesa hizo zimepigwa, kwa kuwa Taifa la Tanzania limeutangazia ulimwengu kuwa Taifa hilo halina hata mgonjwa hata mmoja wa Covid 19?
Ko wewe ni balozi nchi gani??? Wagonjwa wa Kovidi wote wamepona. Tanzania ni Covid-FREE
 
Katika taarifa ya habari ya Channel 10 ya usiku wa jana tarehe 20 Novemba 2020, Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji na Mwakilishi wa Tanzania kwenye Umoja wa Ulaya Mhe Jestas Abuok Nyamanga ameeleza kuwa siku ya tarehe 19 Nov alimwandikia barua Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya Mhe David Mc Allister kumwomba apewe nafasi ya kutoa ufafanuzi kwa Mwenyekiti huyo na Kamati yake dhidi ya taarifa mbalimbali za upotoshaji. Ameeleza kwenye mahojiano hayo na Channel 10 kuwa jana tarehe 20 Nov, Mwenyekiti huyo alimjibu na kukubali kukutana naye na kwamba atampangia tarehe.

View attachment 1631130
My take:
Kila uongo wanaotengeneza na wana Ufipa unazidi kubainika ndani na nje ya nchi. Ama kweli njia ya mwongo ni fupi

Ili kuweka sawa mizania balozi akishamaliza kufafanua, mbeba maono (Lissu) naye tutamwombea nafasi ya kwenda kufafanua.

Cha msingi ni kuwa ukweli na ukweli tupu na ukapate kufahamika.
 
'Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji na Mwakilishi wa Tanzania kwenye Umoja wa Ulaya Mhe Jestas Abuok Nyamanga ameeleza kuwa siku ya tarehe 19 Nov alimwandikia barua Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya Mhe David Mc Allister kumwomba apewe nafasi ya kutoa ufafanuzi kwa Mwenyekiti huyo na Kamati yake dhidi ya taarifa mbalimbali za upotoshaji. Ameeleza kwenye mahojiano hayo na Channel 10 kuwa jana tarehe 20 Nov, Mwenyekiti huyo alimjibu na kukubali kukutana naye na kwamba atampangia tarehe.'

Beberu limemjibu 'NITAKUPANGIA TAREHE YA KUNIONA'.

Kwani tangu lini Donor Country inapigia magoti mabeberu?
 
'Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji na Mwakilishi wa Tanzania kwenye Umoja wa Ulaya Mhe Jestas Abuok Nyamanga ameeleza kuwa siku ya tarehe 19 Nov alimwandikia barua Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya Mhe David Mc Allister kumwomba apewe nafasi ya kutoa ufafanuzi kwa Mwenyekiti huyo na Kamati yake dhidi ya taarifa mbalimbali za upotoshaji. Ameeleza kwenye mahojiano hayo na Channel 10 kuwa jana tarehe 20 Nov, Mwenyekiti huyo alimjibu na kukubali kukutana naye na kwamba atampangia tarehe.'

Beberu limemjibu 'NITAKUPANGIA TAREHE YA KUNIONA'.

Kwani tangu lini Donor Country inapigia magoti mabeberu?
Kwani hukumbuki wakati Mr Mzungu aliposhindwa uchaguzi & maandamano kubuma akaamua atimkie kwa Bob Amsterdam & mabeberu wengine???
 
Mahojiano yalifanyika "live" kila mtu akaona, nawashangaa sijui mnahangaika nini, wametaka maelezo kwanini mlikula pesa za Corona wakati mlisema haipo Tanzania, wakasema nchi yetu imekuwa "regime state" and basing on the results of our past general election, hili nalo ni kweli, mlilazimisha ushindi.

Kuomba kikao na huyo jamaa hakutafuta ukweli huo hapo juu, msituone watoto eti kwasababu mtakaa nae meza moja ndio mtamaliza hilo tatizo, nachojifunza kutokana na haya mahangaiko yenu kumbe hamjiamini, mnajitutumua tu "taifa huru" kuwadanganya wasiojielewa.

Anyway, mmeambiwa mtapangiwa tarehe ya kumuona, na siku huyo balozi akienda mwambieni asitetemeke ndio atazidi kuharibu, anatakiwa ajiamini hata kama anaongea uongo.
 
Back
Top Bottom