antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Hata ukikusanya ma-taga elfu 10, mbeba maono, Lissu pekee anawabwaga chini. Na sabb ni moja, wataenda kutetea uongo. Giza halisimami kamwe mbele ya NURUKutokana na unyeti wa hili suala, asiachiwe huyo balozi peke yake kulishughulikia. Iundwe timu ya wajumbe wasiopungua watatu chini ya balozi wetu Sweden, litamalizwa mapema sana.
Katika taarifa ya habari ya Channel 10 ya usiku wa jana tarehe 20 Novemba 2020, Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji na Mwakilishi wa Tanzania kwenye Umoja wa Ulaya Mhe Jestas Abuok Nyamanga ameeleza kuwa siku ya tarehe 19 Nov alimwandikia barua Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya Mhe David Mc Allister kumwomba apewe nafasi ya kutoa ufafanuzi kwa Mwenyekiti huyo na Kamati yake dhidi ya taarifa mbalimbali za upotoshaji. Ameeleza kwenye mahojiano hayo na Channel 10 kuwa jana tarehe 20 Nov, Mwenyekiti huyo alimjibu na kukubali kukutana naye na kwamba atampangia tarehe.
View attachment 1631130
My take:
Kila uongo wanaotengeneza na wana Ufipa unazidi kubainika ndani na nje ya nchi. Ama kweli njia ya mwongo ni fupi
Tukae tujenge nchiMbona uchaguzi umeisha salama na kwa uhuru na haki hadi Mr Mzungu kasepa zake kwa Bob Amsterdam???
Hata wachungaji ccm, maaskofu ccm, mashekhe ccm..Nyinyi CCM mnajua wazi kuwa hapa nchini kila kitu mmebana, kuanzia Tume ya uchaguzi CCM, Polisi CCM, Wasimamizi wa Uchaguzi CCM, Mahakama CCM!
Katika taarifa ya habari ya Channel 10 ya usiku wa jana tarehe 20 Novemba 2020, Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji na Mwakilishi wa Tanzania kwenye Umoja wa Ulaya Mhe Jestas Abuok Nyamanga ameeleza kuwa siku ya tarehe 19 Nov alimwandikia barua Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya Mhe David Mc Allister kumwomba apewe nafasi ya kutoa ufafanuzi kwa Mwenyekiti huyo na Kamati yake dhidi ya taarifa mbalimbali za upotoshaji. Ameeleza kwenye mahojiano hayo na Channel 10 kuwa jana tarehe 20 Nov, Mwenyekiti huyo alimjibu na kukubali kukutana naye na kwamba atampangia tarehe.
View attachment 1631130
My take:
Kila uongo wanaotengeneza na wana Ufipa unazidi kubainika ndani na nje ya nchi. Ama kweli njia ya mwongo ni fupi
Tuhuma zinazochafua nchi versus vitendo vinavyochafua nchiBalozi ndiyo wajibu wake wa kidiplomasia msimfundishe kazi wacha aonane na Mwenyekiti. Katika uzi wangu uliopita humu nilieleza umuhimu wa kipindi hiki kufanya kazi yao kiweledi kupangua hoja na tuhuma zinazochafua nchi yetu.
Yapo mambo ya kukaa na kuzungumza ila sio yote, nawaona mmejichafua wenyewe.Balozi ndiyo wajibu wake wa kidiplomasia msimfundishe kazi wacha aonane na Mwenyekiti. Katika uzi wangu uliopita humu nilieleza umuhimu wa kipindi hiki kufanya kazi yao kiweledi kupangua hoja na tuhuma zinazochafua nchi yetu.
Hahahahaha
Ukimjua mmiliki wa channel ten huwezi kubishana hapa kwa hicho walichokitangaza!
Hayo Mahojiani yaende live kama anajiaminiKatika taarifa ya habari ya Channel 10 ya usiku wa jana tarehe 20 Novemba 2020, Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji na Mwakilishi wa Tanzania kwenye Umoja wa Ulaya Mhe Jestas Abuok Nyamanga ameeleza kuwa siku ya tarehe 19 Nov alimwandikia barua Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya Mhe David Mc Allister kumwomba apewe nafasi ya kutoa ufafanuzi kwa Mwenyekiti huyo na Kamati yake dhidi ya taarifa mbalimbali za upotoshaji. Ameeleza kwenye mahojiano hayo na Channel 10 kuwa jana tarehe 20 Nov, Mwenyekiti huyo alimjibu na kukubali kukutana naye na kwamba atampangia tarehe.
View attachment 1631130
My take:
Kila uongo wanaotengeneza na wana Ufipa unazidi kubainika ndani na nje ya nchi. Ama kweli njia ya mwongo ni fupi
Hapo mnafuta kitu gani,kwanini msiache tu?Kutokana na unyeti wa hili suala, asiachiwe huyo balozi peke yake kulishughulikia. Iundwe timu ya wajumbe wasiopungua watatu chini ya balozi wetu Sweden, litamalizwa mapema sana.
Vipande vya pesa vilimsaliti Yesu kupitia kwa YudaSeptember kulikuwa na Corona? Hela nyingine Ni za mitego. Unategwa ili wakuchinje mazima
Itapendeza siku atakayofika kwa Mcallister amkute na Lissu ambae yuko hapo hapo Ubelgiji nae kaitwa kwenye hicho hicho kikao.Katika taarifa ya habari ya Channel 10 ya usiku wa jana tarehe 20 Novemba 2020, Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji na Mwakilishi wa Tanzania kwenye Umoja wa Ulaya Mhe Jestas Abuok Nyamanga ameeleza kuwa siku ya tarehe 19 Nov alimwandikia barua Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya Mhe David Mc Allister kumwomba apewe nafasi ya kutoa ufafanuzi kwa Mwenyekiti huyo na Kamati yake dhidi ya taarifa mbalimbali za upotoshaji. Ameeleza kwenye mahojiano hayo na Channel 10 kuwa jana tarehe 20 Nov, Mwenyekiti huyo alimjibu na kukubali kukutana naye na kwamba atampangia tarehe.
View attachment 1631130
My take:
Kila uongo wanaotengeneza na wana Ufipa unazidi kubainika ndani na nje ya nchi. Ama kweli njia ya mwongo ni fupi
Ukitaka kujua uwiano wa unachokisema angalia jinsi walivyoenda wao wenyewe pale central kumchukua Lissu baada ya kukamatwa, wakahakikisha anapata passport yake mpya huku wamempa hifadhi wiki nzima, wakampeleka kwa escort yao hadi JKNIA, wakampandisha ndege na wakahakikisha amefika salama. Mara tena hizi mambo za EU parliament, Amnesty Intern, mahakama ya Africa na bado Bensouda kule ICC hajatoa kauli yake ndio unaelewa nani anafata baada ya Ghadaffi na Al BashirHakuna kiongozi aliyekuwa na nguvu Afrika kama Ghadaffi..mabeberu wakikuchoka unapotea Meko na M7 jiandaeni
hio chaneli siipendi yaani mwanzo mwisho ni ccm tuUkimjua mmiliki wa channel ten huwezi kubishana hapa kwa hicho walichokitangaza!