Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Nilikuwa na kijisafari changu cha kibiashara huko Maryland , nafikiria niende au niache , naona aibu sana !Hao ndio aina ya viongozi wa kiafrika. Mkiitwa shit-hole mnanuna wakati matendo yenu yana-prove ninyi ni shit-holes kweli.
Jamaa alidhani yupo Africa nini!??[emoji23] [emoji23]
Kama unatumia passport ya mwananchi (ordinary) haina shida; nenda zako kapige kazi Mkuu. Ila kama unatumia yale ma-passport wenyewe sijui wanayaita ya watu maalumu ambayo yanawatia viburi kujiona wao ni special sana kweli utaaibika; Trump anawaona "takataka" tu kutokana na matendo na mienendo yao kama huyo wa Uganda.Nilikuwa na kijisafari changu cha kibiashara huko Maryland , nafikiria niende au niache , naona aibu sana !
Typical black culture! This the precise definition of shit-hole. Halafu kwa matendo haya wanakimbilia kutoa vijitamko vya kijinga kulaani.Jamaa aliandaa Misa ya Shukran kwenye Makazi yake Washington, Mmoja wa wahudhuriaji wa Missa hiyo alikuwa Hawara yake ambae Huyo Mama alikuwa anamjua na alipomuona Yule Hawara akamtambua na akalianzisha kwa Mumewe mbele ya wageni
Baada ya Misa kwisha Yule Mwanaume ukabidi amtembezee kisago cha Mwana ukome Yule Mkewe ili awe na adabu Siku nyingine
[emoji15] [emoji15] [emoji15]teh teh ee.. ndio maana washamba na walimbukeni wa bongo hawasafir kabisa huko, wataaibika bure!
Violence against women sio jambo la Waafrika tu, au mmesahau dozi aliyopewa Rihanna!
Je uvundo hakuna ?ila wao kututukana nchi za uvundo ni ustaarabu!