Balozi wa Uganda atimuliwa Marekani kwa kuleta Uafrika, Alimtandika mkewe

Balozi wa Uganda atimuliwa Marekani kwa kuleta Uafrika, Alimtandika mkewe

Wizara ya Mambo ya nje ya Marekani imemtimua balozi mdogo wa Uganda nchini humo kutokana na ugomvi wa kifamilia uliosababisha ampige mke wake , mangumi na mateke .

Chanzo - Mwananchi

Mytake - Mnapoenda kwenye nchi za watu mambo yenu ya kishamba yaacheni hukohuko kwenu , nchi za watu hata hirizi ya kiunoni ni lazima uivue kwanza ndio uende .
Huo ndio ushithole anaousem Trump .
 
Wizara ya Mambo ya nje ya Marekani imemtimua balozi mdogo wa Uganda nchini humo kutokana na ugomvi wa kifamilia uliosababisha ampige mke wake , mangumi na mateke .

Chanzo - Mwananchi

Mytake - Mnapoenda kwenye nchi za watu mambo yenu ya kishamba yaacheni hukohuko kwenu , nchi za watu hata hirizi ya kiunoni ni lazima uivue kwanza ndio uende .
SHITHOLES ktk ubora wao
 
Hapo Washington maofisa wetu wawili walisharudishwa nyumbani kwa visa za kupiga na uwizi supermarket tokea 2009 adi sasa.

Tuwe makinj sana tunapokwenda nchi za watu.
 
Wacheni ukuku nyie mnaomshambulia huyo Balozi.Jamaa namkubali kwa itikadi hizo big time. Mke akileta ujuaji unampa nakozi za kutosha anarudi kwenye msitari. Demokrasia za kupangiwa zamu za kufua nguo za mtoto na kupika ni big NO.
 
Wacheni ukuku nyie mnaomshambulia huyo Balozi.Jamaa namkubali kwa itikadi hizo big time. Mke akileta ujuaji unampa nakozi za kutosha anarudi kwenye msitari. Demokrasia za kupangiwa zamu za kufua nguo za mtoto na kupika ni big NO.
Wewe ni mwafrica ?
 
Simple, mwanamke ukileta dharau, hata uwe Jupiter, lazima ule vibao tu, hata turudishwe bongo poa tu..Ieleweke kabisa..
 
Nasikia hata Mwenyekiti wa chama cha vidumu huwa anamkandamiza Mke wake viganja vya mkono.
 
Wizara ya Mambo ya nje ya Marekani imemtimua balozi mdogo wa Uganda nchini humo kutokana na ugomvi wa kifamilia uliosababisha ampige mke wake , mangumi na mateke .

Chanzo - Mwananchi

Mytake - Mnapoenda kwenye nchi za watu mambo yenu ya kishamba yaacheni hukohuko kwenu , nchi za watu hata hirizi ya kiunoni ni lazima uivue kwanza ndio uende .
Sasa yako wewe mbona ukija Dar unakuja nayo na huiwachi Tunduma?
 
Wizara ya Mambo ya nje ya Marekani imemtimua balozi mdogo wa Uganda nchini humo kutokana na ugomvi wa kifamilia uliosababisha ampige mke wake , mangumi na mateke .

Chanzo - Mwananchi

Mytake - Mnapoenda kwenye nchi za watu mambo yenu ya kishamba yaacheni hukohuko kwenu , nchi za watu hata hirizi ya kiunoni ni lazima uivue kwanza ndio uende .
Huyu Mwanadiplomasia kaleta aibu sana nadhani Mkewe alimnyima kitu jamaa akaona isiwe tabu ngoja nikunyooshe ili twende sawa.
 
Wizara ya Mambo ya nje ya Marekani imemtimua balozi mdogo wa Uganda nchini humo kutokana na ugomvi wa kifamilia uliosababisha ampige mke wake , mangumi na mateke .

Chanzo - Mwananchi

Mytake - Mnapoenda kwenye nchi za watu mambo yenu ya kishamba yaacheni hukohuko kwenu , nchi za watu hata hirizi ya kiunoni ni lazima uivue kwanza ndio uende .

Hirizi zipi nizitoe? Mimi nina hirizi 9 kiunoni. Je

[emoji830]Niondoe ile ilionifanya nipelekwe Marekani kuwa balozi? Au

[emoji830]Niondoe ile ya ngekewa ilionifanya niweze kumlopoa huyu MWANAMKE bomba alienishitaki polisi? Au

[emoji830]Pengine niondoe ile hirizi inayonipa umaarufu dunia nzima na sasa mnanizungumzia?

[emoji830]Kuna hirizi moja sitaiachia hata mnichinje. Inakifanya KIBAMIA changu kuwa MHOGO WA JANG'OMBE. Siitoi hiyo hirizi ng'o.

Hizi hirizi nyingine 5 zilizobaki ni za kuwangia usiku. Hizi ni hirizi za kimila. Hazitoki asilani.
 
Mtu kupiga mkewe ndo aitwe mshamba, kwahiyo hakuna wazungu wanaopiga wake au waume zao, kupiga mke hakuhusiani na UAFRIKA kwa namna yoyote, hilo ni suala binafsi na tabia binafsi hata wazungu na watu wengine wanazo.

ukiangalia comments nyingi hapo juu utagundua waafrika wengi tunaongozwa kufikiri, sijui tulipishana na darasa la LOGIC AND REASONING.
 
Back
Top Bottom