Balozi wa Uganda atimuliwa Marekani kwa kuleta Uafrika, Alimtandika mkewe



Duh!, kakaribisha hawala nyumbani, kachapa mwanamke halafu Nchi za watu. Diplomat mzima!

Typical..
 
Piga tu.
Kwani huyo balozi akirudishwa huyo mama ndio atabaki tena tukishuka airport nchini kwetu ndio nakuponda zaidi upate akili
Wooote wawili wanarudi ili kuanza maisha ya kiubangaizaji. Hivi kama mama angalimtwanga mume, hao wadhungu wangaliamuaje?


Mwanamke anaweza asirudishwe akitaka kubaki. Akapata Lawyer mzuri wa kumtetea, tena anaesimamia masuala ya haki za wanawake.
Akasimama kwenye kigezo hiki cha maisha yake kuwa hatarini na mume wa hivi kama watamrudisha.
Akili yake tu.
 
Mwanamke anaweza asirudishwe akitaka kubaki. Akapata Lawyer mzuri wa kumtetea, tena anaesimamia masuala ya haki za wanawake.
Akasimama kwenye kigezo hiki cha maisha yake kuwa hatarini na mume wa hivi kama watamrudisha.
Akili yake tu.
Atabaki lkn sio kwa hadhi ya diplomatic
 
Ukitaka kuchukiwa na kufukuzwa U.S.A fanya vitendo vya uzalilishaji wa wanawake/kinamama/kinadada!.
 
Sasa hapo ndio ataona life la kuishi kwa kubeba box lilivyokuwa gumu.


Si afadhali abebe box na amani yake kuliko aishi ki diplomat na kuletewa hawala nyumbani, na akilakamika au kum confront hawala achwape? Wanaume wa Africa nimewavulia kofia.
 
Si afadhali abebe box na amani yake kuliko aishi ki diplomat na kuletewa hawala nyumbani, na akilakamika au kum confront hawala achwape? Wanaume wa Africa nimewavulia kofia.

Alianzisha ugomvi kwny sherehe ya kibalozi alitegemea nn
 
Na Mseveni atamfuta kazi tu.
Kama angekuwa a.eoa kwa raisi halafu ampige binti raisi atapona
 
Alianzisha ugomvi kwny sherehe ya kibalozi alitegemea nn


Kama alikuwa cheated on na akiuliza mwanaume anakataa halafu hawala anakaribishwa mpaka nyumbani, ulitaka a react vipi?
Yaani awe cheated on, halafu apelekewe hawala mpaka nyumbani?!
Ilikuwa haki yake kuanzisha ugomvi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…