Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Balozi wa Uingereza leo alizotembelea timu za Simba kule Bunju na Yanga Jangwani, ilipofika aliulizia Makombe na Medali za Kimataifa, kule Bunju hakupata Kombe wala Medali bali Ahmed Ally akawa na lazi ya kumuelezea historia ya robo fainali na kufa kiume, alipoenda Jangwani akaonyeshwa Medali na Makombe.