Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
1. Kwa mfano Al Ahly au Wydad angekuwa ndiyo Yanga aliyenza Champion League akatolewa akaenda shirikisho akachukua medali au kombe. Utasema Al Ahly au Wydad kiwango chake kimeshuka au kimepanda?Balozi wa Uingereza leo alizotembelea timu za Simba kule Bunju na Yanga Jangwani,ilipofika aliulizia Makombe na Medali za Kimataifa, kule Bunju hakupata Kombe wala Medali bali Ahmed Ally akawa na lazi ya kumuelezea historia ya robo fainali na kufa kiume,alipoenda Jangwani akaonyeshwa Medali na Makombe.View attachment 2799155
Soon utajua kuwa hujui1. Kwa mfano Al Ahly au Wydad angekuwa ndiyo Yanga aliyenza Champion League akatolewa akaenda shirikisho akachukua medali au kombe. Utasema Al Ahly kiwango chake kimeshuka au kimepanda?
2. Timu iliyopangwa Champion League ikatolewa ikaenda shirikisho mpaka fainali ikachukua medali au kombe na timu iliyopangwa champion league ikacheza mpk robo fainali ipi ni timu bora na kiwango cha kiko juu?
Simba ni timu kubwa na bora Afrika ndiyo maana hata Yanga akicheza na Simba hujiona amecheza na timu kubwa na bora ndiyo maana hujilinganisha na Simba na siyo timu zingine[emoji16][emoji16][emoji16]
Una medali za shirikisho halafu unaona ni timu kubwa wakati kwenye mashindano ya timu kubwa na bora AFL haupo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Wewe una medali gani? Maana hiyo shirikisho tuu uliloga mchana kweupe ugenini1. Kwa mfano Al Ahly au Wydad angekuwa ndiyo Yanga aliyenza Champion League akatolewa akaenda shirikisho akachukua medali au kombe. Utasema Al Ahly kiwango chake kimeshuka au kimepanda?
2. Timu iliyopangwa Champion League ikatolewa ikaenda shirikisho mpaka fainali ikachukua medali au kombe na timu iliyopangwa champion league ikacheza mpk robo fainali ipi ni timu bora na kiwango cha kiko juu?
Simba ni timu kubwa na bora Afrika ndiyo maana hata Yanga akicheza na Simba hujiona amecheza na timu kubwa na bora ndiyo maana hujilinganisha na Simba na siyo timu zingine[emoji16][emoji16][emoji16]
Una medali za shirikisho halafu unaona ni timu kubwa wakati kwenye mashindano ya timu kubwa na bora AFL haupo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mbona haujajibu maswali?Wewe una medali gani? Maana hiyo shirikisho tuu uliloga mchana kweupe ugenini
Acha blah blah,kamuonyesheni Balozi Kombe au Medali ya Kimataifa.Hivi unaakili timamu kweli?????????????
Tusije tukawa tunachangia nyuzi na kiazi mbatata
Timu bora ni zile zinazocheza nusu fainali na kufika fainali sio zinazoishia robo robo kila Mwaka.Mbona haujajibu maswali?
Kipindi hicho Yanga ilikuwa wapi? Jibu maswali
Timu bora na kubwa Afrika zinacheza Champion League na AFL tu
Kaa na medali zako za shirikisho.Soon utajua kuwa hujui
Usifananishe takataka ya Shirikisho na Champion League pamoja na African Footbal League.Timu bora ni zile zinazocheza nusu fainali na kufika fainali sio zinazoishia robo robo kila Mwaka.
Unajua timu iliyoishia Champion League robo fainail ni timu bora kuliko iliyochukua medali au kombe shirikisho?Timu bora ni zile zinazocheza nusu fainali na kufika fainali sio zinazoishia robo robo kila Mwaka.
Kipindi Yanga inaingia mara ya kwanza makundi Club Bingwa Africa,Simba walikuwa bize kubadili jina kutoka Queen Sport Club kwenda Simba.Kaa na medali zako za shirikisho.
Kati ya Simba na Yanga, ipi ni timu bora hapo?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
- Kipindi Simba inacheza shirikisho, yanga ishatolewa kitambo
- Kipindi Simba anacheza Champion League mpaka robo fainal, Yanga alishatolewa muda mrefu yupo shirikisho anapambania medali
- Kipindi Simba anacheza African Footbal League, Yanga kakalisha matako
Ni kweli ndio maana USMA Alger ni bingwa wa MabingwaUnajua timu iliyoishia Champion League robo fainail ni timu bora kuliko iliyochukua medali au kombe shirikisho?
1. African Footbal League
2. Champion League
3. Confederation.
Timu iliyooishia makundi champion league ni timu bora kushinda zote zilizocheza Shirikisho mpaka aliyechukua kombe
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Waliyoita Yanga ni utopolo hawakukosea. Bado inawaza medali za shirikisho na kujifananisha na Simba.
Harudi tenaNi kweli ndio maana USMA Alger ni bingwa wa Mabingwa
Kipindi Yanga anacheza fainali Simba alikua wapi? Kuna kuna vipengele unarukaKaa na medali zako za shirikisho.
Kati ya Simba na Yanga, ipi ni timu bora hapo?ππππ
- Kipindi Simba inacheza shirikisho, yanga ishatolewa kitambo
- Kipindi Simba anacheza Champion League mpaka robo fainal, Yanga alishatolewa muda mrefu yupo shirikisho anapambania medali
- Kipindi Simba anacheza African Footbal League, Yanga kakalisha matako