Balozi wa Uingereza aulizia kombe na medali za Kimataifa alipotembelea Club za Simba na Yanga

Kama wewe timu bora 2022/2023 mbona haupo kwenye list,sio kitimu wala mchezaji huna anakushinda hata Malumo.
Kuna timu moja bora ya Simba tu ambayo mnaweza kuilinganisha nayo?
Nilitegemea kuwa na medali mtajilinganisha Al Ahly, Mamelod n.k
Kila siku ni Simba tu. Mbona huwa mjilinganishi na Azam au Ihefu?
 
Kuna timu moja bora ya Simba tu ambayo mnaweza kuilinganisha nayo?
Nilitegemea kuwa na medali mtajilinganisha Al Ahly, Mamelod n.k
Kila siku ni Simba tu. Mbona huwa mjilinganishi na Azam au Ihefu?
Nani kajilinganisha nanyi?
 
Huo msimu unaousema wewe hukuondoka hata na Kombe moja wala medali sio ligi ya ndani wala Kimataifa.
Sawa.
Kwanini mnajilinganisha na Simba na siyo USM Ulger au Wydad?
Hakuondoka na hata medali wala kombe na bado unajilinganisha na Simba. Huoni kama mnateseka sana?
 
Nani kajilinganisha nanyi?
Huu uzi wako, ungeongelea Yanga tu.
Yanga bila Simba, hainogi
Kipindi Yanga inachukua medali za shirikisho, Simba haina medali wala kombe lakini ni timu bora kuliko Yanga. Simba ya 8 na Yanga ni ya 18.
 
Sawa.
Kwanini mnajilinganisha na Simba na siyo USM Ulger au Wydad?
Hakuondoka na hata medali wala kombe na bado unajilinganisha na Simba. Huoni kama mnateseka sana?
Elewa kwanza uzi ndio uongee
Balozi Kapita kote team zote mbili

Kwa simba kaambulia porojo na kwa yanga kaoneshwa makombe na medali..

Full stop kuchagua team gani kubwa
 
Huu uzi wako, ungeongelea Yanga tu.
Yanga bila Simba, hainogi
Kipindi Yanga inachukua medali za shirikisho, Simba haina medali wala kombe lakini ni timu bora kuliko Yanga. Simba ya 8 na Yanga ni ya 18.
Umeulizwa nani kajilinganisha na nyinyi?
 
Elewa kwanza uzi ndio uongee
Balozi Kapita kote team zote mbili

Kwa simba kaambulia porojo na kwa yanga kaoneshwa makombe na medali..

Full stop kuchagua team gani kubwa
Kauliza swali, hamjamjibu. Jibu na wewe
Mbona mna makombe na medali hampo African Footbal League?
 
Umeulizwa nani kajilinganisha na nyinyi?
Angalia uzi unasemaje. Ulitakiwa usomeke huyo Balozi kaenda kutembelea Club ya Yanga.
Timu ina medali na makombe na African Footbal League haipo.
Hizo medali na makombe ya mchongo.
 
Angalia uzi unasemaje. Ulitakiwa usomeke huyo Balozi kaenda kutembelea Club ya Yanga.
Timu ina medali na makombe na African Footbal League haipo.
Hizo medali na makombe ya mchongo.
Basi mpaka tushajua unasumbuliwa na kihoro na chuki
 
Nimeshajua huna unachojua ila ushabiki Oya Oya basi

Endelea kukaza fuvu hapa
Huwa mnaona medali za shirikisho huwa ni big deal sana?😁😁😁😁😁
Najua mpira sana. Ndiyo maana huwa mnajifariji na medali za shirikisho.
Haujui mpira ndiyo maana utasikia watuoneshe medali. Jibu!.
Msimu wa 2022-2023 Simba haikucheza Shirikisho
 
Yanga anacheza shirikisho?

Mzee tamthilia ndio zinakufaa

Kwaheri
😁😁😁😁😁😁
Unachanganya mafaili😁😁😁😁
Kaa kwa kutulia.
AFL unaita bonanza 😁😁😁😁😁 Je, shirikisho itakuwa Ndondo Cup.
 
Mlicheza shirikisho mkaishia wapi?
Orlando si waliwatoa robo yenu ile?

Onyesha medali basi ya shirikisho kama rahisi

Kiufupi tunapoteza muda wetu hapa wewe dishi limeyumba 🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…