KweliKwanza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,520
- 2,816
Daah tumeaibika sana cc warusi propaganda hizi ni dharau ila wataelewa tu ni swala la mudaPut In ebu tutoe kimasomaso, tuna simangwa sana huku mitandaoni kwamba huwezi vita, sura zetu twakosa pa kuzificha
Marekani na dunia ikimuogopa putini kabla ya operation yake Ukrean kwa sababu US walikuwa hawajuwi Urusi wana nini nyuma ya pazia lakini hii vita vimekuja kuondosha lile pazia na Super power Mrusi kuonekana kila alichonacho na uwezo wake waoote aibu tupu. Kumbe Urusi ukitoa nuclear silaha alizonazo ni vifaru vya kizamani ambavyo vilionekana kupanga msururu kuelekea ukrean na vyote vimeyeyuka kama pipi.-Putin ni Commando
-Putin ana black belt ya kungfu
-Putin huwa hacheki
-Putin akijisaidia kinyesi kinafichwa ili CIA wasiibe
-Marekani inamuogopa sana Putin haiwezi kuisaidia Ukraine
-Putin ni KGB dunia inamuogopa
DAH HAYO NI MANENO YA MASHABIKI WA PUTIN HAPA BUZA KWALULENGE.
Putin ana ubabe wa kizamani sana. China ni mjanja sana ule mtego wa Pelosi kutua Taiwan angejichanganya tu ingekula kwake.Marekani na dunia ikimuogopa putini kabla ya operation yake Ukrean kwa sababu US walikuwa hawajuwi Urusi wana nini nyuma ya pazia lakini hii vita vimekuja kuondosha lile pazia na Super power Mrusi kuonekana kila alichonacho na uwezo wake waoote aibu tupu. Kumbe Urusi ukitoa nuclear silaha alizonazo ni vifaru vya kizamani ambavyo vilionekana kupanga msururu kuelekea ukrean na vyote vimeyeyuka kama pipi.
Sasaiv putin anaandaa vijana na askari wa akiba laki 3 waende vitani baada jeshi lake sehemu kubwa kuliwa vichwa na majenerali wao.
Iran imekataa kumpa silaha, North Korea pia sasa anatishia nuclear ambapo pia hatawaweza kutumia kwa usalama wa taifa lake na watu wake ni vile huyu jamaa kachanganyikiwa sana
Vipi mshaikomboa Donbas na kuelekea kuikomboa Crimea?Lazima wananachi waandamane wakatae kwenda vitani washajua wanaenda kuuliwa kama baba zao, Super power Mrusi amechoka ata mwaka 1 bado madhaifu tele.,
Marekani akiiogopa urusi kabla ya Vita lakini sasa wamejua hizi weakness zake hawamuachi tena mpaka agare agare chini kabisa maamae, Putini si alisema ana silaha za kuifyeka NATO kumbe hawezi kupigana ata chini ya mwaka mmoja ameshindwa
Kwahiyo unasema USA ni mchochezi wa vita?Putin ana ubabe wa kizamani sana. China ni mjanja sana ule mtego wa Pelosi kutua Taiwan angejichanganya tu ingekula kwake.
Ni process mkuu Zelensky amekadiria sana kwenye December wavamizi wote watakuwa wameshasafishwa kila walipoteka hadi huko Crimea, Majeshi ya Urusi saivi wanakimbia ovyo na kutelekeza miji waliojichukulia wanakimbia kifo na kutokomeaVipi mshaikomboa Donbas na kuelekea kuikomboa Crimea?
Kwani urusi aliiteka kwa siku ngapi vile?[emoji848]Vipi mshaikomboa Donbas na kuelekea kuikomboa Crimea?
Donbas ishamegwa hivyo,mchakato wa kura ukikamilika ndio mtajua hamjui!Ni process mkuu Zelensky amekadiria sana kwenye December wavamizi wote watakuwa wameshasafishwa kila walipoteka hadi huko Crimea, Majeshi ya Urusi saivi wanakimbia ovyo na kutelekeza miji waliojichukulia wanakimbia kifo na kutokomea
Swali zuri.Kwahiyo unasema USA ni mchochezi wa vita?
Hiyo kura ni hasira ya putin baada Kharkiv kilichomkuta, wanaume wapo kazini watakimbizana wenyeweDonbas ishamegwa hivyo,mchakato wa kura ukikamilika ndio mtajua hamjui!
Huyu naye ni mjinga kana wenzake tu, Russia anapigana na Ulaya na Marekani unaanza kumnanga kashindwa vita? Kuna nchi gani hapa duniani ingemudu vuta vya scale hiyo? Na atazidi kwanyoosha, wacha tu awachape nyukliaMengine kasema
- Wako tayari kuendelea na vita kama watapewa siraha
- kasema misaada wanaitumia vizuri
- kasema Putin anatishia tu na hawezi kufanya
- kasema missiles nyingi za Urusi zinatunguliwa nyingine hushuka ambapo hamna athari yoyote
- Kasema viongozi aina ya Putin ni watu waliolewa madaraka na kuona lolote wanaalofanya na kufikiria wao ni sahihi atakama watu wanaona vinginevyo
- kasema watu zaidi ya 1000 wamekamatwa wakiandamana kupinga kupelekwa vitani
Haja
Huyu naye ni mjinga kana wenzake tu, Russia anapigana na Ulaya na Marekani unaanza kumnanga kashindwa vita? Kuna nchi gani hapa duniani ingemudu vuta vya scale hiyo? Na atazidi kwanyoosha, wacha tu awachape nyuklia
Lazima wananachi waandamane wakatae kwenda vitani washajua wanaenda kuuliwa kama baba zao, Super power Mrusi amechoka ata mwaka 1 bado madhaifu tele.,
Marekani akiiogopa urusi kabla ya Vita lakini sasa wamejua hizi weakness zake hawamuachi tena mpaka agare agare chini kabisa maamae, Putini si alisema ana silaha za kuifyeka NATO kumbe hawezi kupigana ata chini ya mwaka mmoja ameshindwa
Putin bdo yuko vizuri sana saiv vita sio kama zaman kushambuliana tu kichwa kichwa vita za siku hizi zinaenda kipropaganda sana na huyu mzee anapigana kimahesabu bdo anauwezo mkubwa sana wakutikisa duniaLazima wananachi waandamane wakatae kwenda vitani washajua wanaenda kuuliwa kama baba zao, Super power Mrusi amechoka ata mwaka 1 bado madhaifu tele.
Marekani akiiogopa urusi kabla ya Vita lakini sasa wamejua hizi weakness zake hawamuachi tena mpaka agare agare chini kabisa maamae, Putini si alisema ana silaha za kuifyeka NATO kumbe hawezi kupigana ata chini ya mwaka mmoja ameshindwa
Yah ni mchochezi sio kidogo ata vita ya pili ya dunia ndo ilimfanya kuibuka superpower aliacha wenzie wapigane ye akaibuka mwishon kumaliza maliza anachokifanya hapo anasimama nyuma ya mwemvuli wa ukrain kumnyong'onyeaha urusiKwahiyo unasema USA ni mchochezi wa vita?
Ata hvyo iyo opereshen ilifanywa na wote urusi na chinaPutin ana ubabe wa kizamani sana. China ni mjanja sana ule mtego wa Pelosi kutua Taiwan angejichanganya tu ingekula kwake.
Putin amewaalika rasmi ulingoni mikoa yao tunaichukua inakuwa ardhi yetu alafu tuone kenge atakayejaribu kurusha bomu kwenye ardhi yetu wapo watu apa wanasema mbona crimea imejitenga na iko upande wa russia lakini inashambuliwa wasichokijua ni kuwa yale yaliyokuwa yanafanyika crimea ni terrosist attack yani wanampenyeza agents wao mmoja anashambulia na kujificha wa russia wakamgundua waka mneutralize mpaka leo mmeshawai kusikia crimea imeshambuliwa tenaPut In ebu tutoe kimasomaso, tuna simangwa sana huku mitandaoni kwamba huwezi vita, sura zetu twakosa pa kuzificha