Balozi wa Ukraine UK: Putin ni muoga na ameshindwa vita ndo maana anatoa Vitisho vya Nyuklia

Balozi wa Ukraine UK: Putin ni muoga na ameshindwa vita ndo maana anatoa Vitisho vya Nyuklia

Vita anavyopigana Urusi,angekua ndio anapigana Marekani Sasa hivi angekua amekwisha kimbia.
Ndugu.
Marekani Uingereza,ujerumani Ufaransa na NATO wengine walishindwa kuwamaliza watalaban.waliamua kuondoka mmoja baada ya mwingine.
Na mwisho kabisa Marekani akawa wa mwisho kabisa kuondoka Afghanistan kwa kukimbia na kuacha silaha kuwalimbia watalaban.
Maana yangu Watalaban wakiwa peke Yao wakitumia TU Ak 47 bila mizinga,vifaru,ndegevita,melivita , Satellite ICBM wala hawakua na Hela lkn waliwakimbiza wa USA.
Mtu ambaye hawezi ku manage supply chain yake atashindaje vita, USA ni gwiji wa mapambano na utaalamu wake ndio unaozichoma hizo stock za silaha za Russia.
 
-Putin ni Commando
-Putin ana black belt ya kungfu
-Putin huwa hacheki
-Putin akijisaidia kinyesi kinafichwa ili CIA wasiibe
-Marekani inamuogopa sana Putin haiwezi kuisaidia Ukraine
-Putin ni KGB dunia inamuogopa

DAH HAYO NI MANENO YA MASHABIKI WA PUTIN HAPA BUZA KWALULENGE.
Bwege tu Putin anatishia nyau nyukilia nani? kwani nani hana? Nchi zote za Ulaya zina nyukilia

Mbona alitishia ohh nchi inamsaidia Ukraine zitakiona cha mtema kuni wanamsaidia Ukraine nchana kweupe na hana cha kufanya zaidi ya Askari wake kukimbia makombora ya Himars
 
Putin akili kubwaa sana ngojeni kura zipigwe na tupate uhalali wa kuyalinda hayo maeneo na watu wake ndipo mtakapojua kuwa hamjui kitu
 
Vita anavyopigana Urusi,angekua ndio anapigana Marekani Sasa hivi angekua amekwisha kimbia.
Ndugu.
Marekani Uingereza,ujerumani Ufaransa na NATO wengine walishindwa kuwamaliza watalaban.waliamua kuondoka mmoja baada ya mwingine.
Na mwisho kabisa Marekani akawa wa mwisho kabisa kuondoka Afghanistan kwa kukimbia na kuacha silaha kuwalimbia watalaban.
Maana yangu Watalaban wakiwa peke Yao wakitumia TU Ak 47 bila mizinga,vifaru,ndegevita,melivita , Satellite ICBM wala hawakua na Hela lkn waliwakimbiza wa USA.

Urusi hapo Ukraine inapigana na nchi tajiri zote Kubwa hapa Duniani ukitoa Japan TU.zenye majeshi Bora kabisa ,majasusi Bora kabisa.
Wakati huohuo Urusi ikiwa imewekewa vikwazo vya kufa mtu vya kiuchumi.lkn imeweza kuwadhibiti na Sasa wanaongea TU bila kuingia vitani moja kwa moja.wakati waliwahi kuingia vitani moja kwa moja huko Libya,Syria kabla hawajafukuzwa na urusi,Somali kabla hawafukuzwa na Akina Gen Mogan,Gen Mohamed Farah Aideed,waliingiza Iraq na vijisehemu vingine duniani kama Panama.
Utake usitake Urusi ni miamba kwelikweli.

Tokea Dunia hii iumbwe Marekani hajawahi kupigana na nchi yenye Nguvu kiwango Cha Ukraine.

Ukraine Ina tech,Ina viwanda vya aina zote,viwanda vya silaha na rasilimali chungu mzima.
Ukraine inapewa silaha Kali Kila siku,inapewa pesa Kila siku.
mfano Juveline,Himers na nyingine nyini kutoka nchi karibu zote za west achilia mbali NATO ili kuikabili NATO.
Marekani ilidhibitiwa kibabe na Japan peke yake mwisho wa siku wakaona hawana namna isipokua kuishushia Japan mabomu ya nyukilia.
Hata Vietnam ya Leo Haina uwezo kama iliyonayoukraine ya Leo.
Wewe hakuna unachofahamu, unafahamu kwamba Urusi alikimbia hiyo hiyo Afghanistan unayoisema mwaka 1989 au ulikuwa bado hujazaliwa.
 
Mengine kasema
  • Wako tayari kuendelea na vita kama watapewa silaha
  • Kasema misaada wanaitumia vizuri
  • Kasema Putin anatishia tu na hawezi kufanya
  • Kasema missiles nyingi za Urusi zinatunguliwa nyingine hushuka ambapo hamna athari yoyote
  • Kasema viongozi aina ya Putin ni watu waliolewa madaraka na kuona lolote wanaalofanya na kufikiria wao ni sahihi atakama watu wanaona vinginevyo
  • Kasema watu zaidi ya 1000 wamekamatwa wakiandamana kupinga kupelekwa vitani

Muingereza tena 🤣 tangu lini muingereza akamsapoti mtu ambae anaungwa mkono na mataifa/watu anaojitambua, tangu alivyouawa saddam na gaddafi, ni upumbafu na ulimbukeni kuwasapoti hawa innocent killers. Olenimala nkoi?
 
Wewe hakuna unachofahamu, unafahamu kwamba Urusi alikimbia hiyo hiyo Afghanistan unayoisema mwaka 1989 au ulikuwa bado hujazaliwa.

Huwa unamsapoti sana marekani, why? wewe ni house boy wao??
 
Vita anavyopigana Urusi,angekua ndio anapigana Marekani Sasa hivi angekua amekwisha kimbia.
Ndugu.
Marekani Uingereza,ujerumani Ufaransa na NATO wengine walishindwa kuwamaliza watalaban.waliamua kuondoka mmoja baada ya mwingine.
Na mwisho kabisa Marekani akawa wa mwisho kabisa kuondoka Afghanistan kwa kukimbia na kuacha silaha kuwalimbia watalaban.
Maana yangu Watalaban wakiwa peke Yao wakitumia TU Ak 47 bila mizinga,vifaru,ndegevita,melivita , Satellite ICBM wala hawakua na Hela lkn waliwakimbiza wa USA.

Urusi hapo Ukraine inapigana na nchi tajiri zote Kubwa hapa Duniani ukitoa Japan TU.zenye majeshi Bora kabisa ,majasusi Bora kabisa.
Wakati huohuo Urusi ikiwa imewekewa vikwazo vya kufa mtu vya kiuchumi.lkn imeweza kuwadhibiti na Sasa wanaongea TU bila kuingia vitani moja kwa moja.wakati waliwahi kuingia vitani moja kwa moja huko Libya,Syria kabla hawajafukuzwa na urusi,Somali kabla hawafukuzwa na Akina Gen Mogan,Gen Mohamed Farah Aideed,waliingiza Iraq na vijisehemu vingine duniani kama Panama.
Utake usitake Urusi ni miamba kwelikweli.

Tokea Dunia hii iumbwe Marekani hajawahi kupigana na nchi yenye Nguvu kiwango Cha Ukraine.

Ukraine Ina tech,Ina viwanda vya aina zote,viwanda vya silaha na rasilimali chungu mzima.
Ukraine inapewa silaha Kali Kila siku,inapewa pesa Kila siku.
mfano Juveline,Himers na nyingine nyini kutoka nchi karibu zote za west achilia mbali NATO ili kuikabili NATO.
Marekani ilidhibitiwa kibabe na Japan peke yake mwisho wa siku wakaona hawana namna isipokua kuishushia Japan mabomu ya nyukilia.
Hata Vietnam ya Leo Haina uwezo kama iliyonayoukraine ya Leo.
Sasa kama jirani tu kadogo amekashindwa ndo ataweza kupigana vita vya mbali
 
Back
Top Bottom