Balozi wa Zambia nchini Afrika Kusini afukuzwa kazi baada ya kuamuru Wafanyakazi wake wa Kiume wamnyoe nywele sehemu za siri

Balozi wa Zambia nchini Afrika Kusini afukuzwa kazi baada ya kuamuru Wafanyakazi wake wa Kiume wamnyoe nywele sehemu za siri

Hao wafanya kazi..
Ikitokea wamekufa ni moja kwa moja wanaenda motoni..

Kwanza hawana akili alafu hawajitambui aiseeeee...

Nakumbuka nishawahi pata hiyo tenda sema ilikua kumpiga picha yule ant alikua anapigo za ajabu sana..
Nilipiga picha na nikapiga tena
Dogo ajira yako ya upiga picha unafaidi sana, niajiri aisee
 
Rais wa Zambia Hakainde Hichilema amemfuta kazi Balozi anayeiwakilisha Nchi hiyo Afrika kusini Bi. Mazuba Monze baada ya kutoa maagizo kwa Wafanyakazi wake wa kiume wamnyoe sehemu zake za Siri.

Inaelezwa kuwa Balozi huyo alitoa maagizo hayo ambayo siyo ya kidiplomasia kwa Wafanyakazi wake wa kiume licha ya wafanyakazi hao kukataa na nakueleza kuwa siyo sehemu ya majukumu yao ya kuwanyoa Mabalozi hasa sehemu zao za siri.

Baada ya wafanyakazi hao kutotii maagizo hayo Balozi huyo aliamua kuwafuta kazi Wafanyakazi hao na kulifikisha swala hilo katika Wizara ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

My Take
Ubinadamu na Utu havipo tena

Huu Ubalozi wa kuhongwa ni shidah.

Sishangai kuna mtu alimwekea chupa keenye kinyeo na ana cheo kikubwa tu hapa nchini. Kesi ikafa kibudu.

Huyo Balozi angekuja kwangu ningemnyoa tu.
 
jiulize wangekuwa wabongo wana hiyo jeuri ya kukataa zaidi wangefurahia uchawa na kuiona mbunye ya balozi
Naunga mkono hoja.

Mimi ningekuwa wa kwanza, kwani kumnyoa mama muheshimiwa fuzi na huku anakulipa unapungukiwa Nini? Na ukimnyoa vyema na mbunye anakupatia.

Nimeamini kwenye miti wajenzi hakuna.
 
Back
Top Bottom