chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
Mtu akijituma kosa
Akikaa tu ofisini kosa
Kweli nimeamini kale kamsemo
“FUNIKA KIKOMBE SHETANI APITE”[emoji1321]
Mtu akijituma kosa
Akikaa tu ofisini kosa
Kweli nimeamini kale kamsemo
“FUNIKA KIKOMBE SHETANI APITE”[emoji1321]
Chadema wananza kutetemeka wanapoona wanalikosa jiji hivi hivi. 2020 wanafutiliwa mbali.....pia ni adui kwa wana Ukawa !
Mange tu huyuMkuu wa mkoa wa Dar yuko safarini nchini China kutafutacwawekezaji. Mkuu huyo ni mgeni rasmi wa balozi Kairuki na anapewa heshima zote. Waziri wa viwanda majukumu yake ni nini kama mkuu wa mkoa anakwenda kutafuta wawekezaji?
Pata picha wakuu wa mikoa 15 wapo nje ya nchi wanatafuta wawekezaji kwa gharama za mabalozi wetuDada jitambue!! Hata wewe unaweza kutafuta mwekezaji siyo kazi ya Waziri wa Viwanda tu!! Au unalako jambo??!!
Duh!Mkuu wa mkoa wa Dar yuko safarini nchini China kutafutacwawekezaji. Mkuu huyo ni mgeni rasmi wa balozi Kairuki na anapewa heshima zote. Waziri wa viwanda majukumu yake ni nini kama mkuu wa mkoa anakwenda kutafuta wawekezaji?
una kawivu fulani kimtindo tena kawivu kakike.
ni wivu tu wa wabongo wengi njaa kali acheni apige kazi issue ya vyeti iliishaComment yako inaeleza kichwa chako kimejaa nin. Ijumaa Karim
ndio ananyingine ile ya lara1 nayo yakeMange tu huyu
[emoji15] !?ndio ananyingine ile ya lara1 nayo yake
Waziri Mkuu ni mmoja, Waziri ni mmoja, Mkuu wa Mkoa ni mmoja Tanzania, ni mkuu wa Mkoa wa DAR, wengine ni vikaragosi tu!Mkuu wa mkoa wa Dar yuko safarini nchini China kutafutacwawekezaji. Mkuu huyo ni mgeni rasmi wa balozi Kairuki na anapewa heshima zote. Waziri wa viwanda majukumu yake ni nini kama mkuu wa mkoa anakwenda kutafuta wawekezaji?
Msemo na maelezo yako haviendani, Bora ungetumiaMtu akijituma kosa
Akikaa tu ofisini kosa
Kweli nimeamini kale kamsemo
“FUNIKA KIKOMBE SHETANI APITE”[emoji1321]
Mkuu wa mkoa wa Dar yuko safarini nchini China kutafutacwawekezaji. Mkuu huyo ni mgeni rasmi wa balozi Kairuki na anapewa heshima zote. Waziri wa viwanda majukumu yake ni nini kama mkuu wa mkoa anakwenda kutafuta wawekezaji?
Mkuu anatumia kodi yetu kizungushi msambwanda China.