Balozi Yakubu akutana na Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Comoro, James Tsok Bot

Balozi Yakubu akutana na Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Comoro, James Tsok Bot

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Balozi wa Tanzania nchini Comoro Mhe. Saidi Yakubu amekutana na Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Comoro, Mhe. James Tsok Bot aliemtembelea Ubalozini tarehe 17 Septemba, 2024.

Katika mazungumzo yao wamezungumzia maeneo kadhaa ya ushirikiano mintarafu uwakilishi wao nchini Comoro.
 

Attachments

  • IMG-20240917-WA0044.jpg
    IMG-20240917-WA0044.jpg
    138.5 KB · Views: 3
  • IMG-20240917-WA0047.jpg
    IMG-20240917-WA0047.jpg
    151.9 KB · Views: 3
  • IMG-20240917-WA0048.jpg
    IMG-20240917-WA0048.jpg
    155.5 KB · Views: 3
Back
Top Bottom