Tetesi: Balozi za nchi zenye uwekezaji mkubwa nchini zatishia kusimamisha miradi, inadaiwa TRA inawabambikia kodi kubwa zisizolipika

Tetesi: Balozi za nchi zenye uwekezaji mkubwa nchini zatishia kusimamisha miradi, inadaiwa TRA inawabambikia kodi kubwa zisizolipika

Inawezekana ikawa kweli, kuna jamaa mmoja mzawa Muuza huduma, alidai ongezeko la kodi sawa na bei ya kitu alichonunua! Baada ya kukosa kitendea kazi fulani kwenye huduma zake alitafuta na kupata kwa supplier wa nje.

Kimbembe kilitokea pale mzigo ulipofika na TRA kumtaka alipe kodi sawa na thamani ya mzigo huo!
 
Sema ukifatilia na kusoma haya mambo kwa makini kuanzia mgomo n.k kuna mtu / watu wapo kwenye mission kuhakikisha Kidata anatoka kwenye nafasi yake, mengine unaona ni roho mbaya tu kwa jamaa.
Kwamba haya yote yanayotokea ni anatafutwa mtu mmoja tu?, Yahani mmoja tu.....ndo sarakasi zote hizi?????
Inaniwiw ngumu kuamini.
 
Naona mabalozi wanataka tu ku- play victims wakati sheria ziko wazi.

TRA wanasimamia sheria za kodi, kama sheria inasema msamaha wowote wa kodi ama taz concession agreements za wawekezaji wa nje na TIC lazima utangazwe kwenye gazeti la serikali, TRA wameomba hizo details huna, wanakuachaje? Kama ni wewe tu umeamua kujiandikia watajuaje?

Wazungu hao ni wanafiki, wao kwao hawana misamaha wala msalia mtume kwenye kodi, watu wanadaiwa kodi hata za miaka 100 iliyopita, sisi hawataki tukusanye kodi ili tuwe omba omba.

Mbaya zaidi TRA wanaibuki na kodi kutoka hewani, wanakupatia computations zote kutoka kwenye vitabu vyako vya mahesabu.

Nachokiona nchi hii kuna mikakati ya maksudi ya watu hawataki kulipa kodi.

Samia vile anautaka urais kwa nguvu, yuko tayari aharibu nchi yetu kwa namna yoyote ile ili tu awe rais mwakani.

Wazungu wanataka waje bongo wapige hela waondoke.
 
Kwa unyenyekevu tumekuwa tukishauri..
Fuatilieni shauri zetu tulio wadogo na tusiostahiri..

Pamoja na rushwa kukithiri Kwa maofisa wengi wa TRA.. Tatizo sio watu..CG..Ni Mfumo/sheria/Kanuni..

I think we have one of the best Commissioner General..

Tufumue sheria Za kodi,Mamlaka iboreshwe..
Best from where, I used to like him not before kufanya rushwa ya waziwazi na kunisababoshia hasara ya maisha
 
-TOKA TUBINAFSISHE BANDARI NAONA KAMA SEREKALI INASUMBUKA NA SHORTAGE ZA KIFEDHA KIAINA -
-Tukae nao chini upya!, tuajast tusije kuharibu sekta nyingine za kibiashara kwa ku force mapato intelegency ina sema hivyo!
 
Kana kwamba sakata la wafanyabiashara wa Kariakoo halijatosha, nimepata tetesi kuwa sasa waekezaji wakubwa wamezilalamikia Balozi zao kuwa TRA inawabambika kodi zisizolipika na wengi wametishia kuondoa uwekezaji wao.

Huu inaelekea ni mwendelezo wa malalamiko ya wafanyabiashara wa Kariakoo, na sababu zilizopelekea kufunga maduka ni hizo hizo.

Inaelekea Mama Samia mno amewaachia Wizara ya Fedha na TRA na wo wanafanya madudu wapendavyo.
Sehemu hii Mama tunahitaji mkeka mpya.

NB
Nimepata hii barua inbox
Mambo ya awamu ya 5 yamerudi tena.
 
Naona mabalozi wanataka tu ku- play victims wakati sheria ziko wazi.

TRA wanasimamia sheria za kodi, kama sheria inasema msamaha wowote wa kodi ama taz concession agreements za wawekezaji wa nje na TIC lazima utangazwe kwenye gazeti la serikali, TRA wameomba hizo details huna, wanakuachaje? Kama ni wewe tu umeamua kujiandikia watajuaje?

Wazungu hao ni wanafiki, wao kwao hawana misamaha wala msalia mtume kwenye kodi, watu wanadaiwa kodi hata za miaka 100 iliyopita, sisi hawataki tukusanye kodi ili tuwe omba omba.

Mbaya zaidi TRA wanaibuki na kodi kutoka hewani, wanakupatia computations zote kutoka kwenye vitabu vyako vya mahesabu.

Nachokiona nchi hii kuna mikakati ya maksudi ya watu hawataki kulipa kodi.

Samia vile anautaka urais kwa nguvu, yuko tayari aharibu nchi yetu kwa namna yoyote ile ili tu awe rais mwakani.

Wazungu wanataka waje bongo wapige hela waondoke.
Wewe utakuwa wale wale wakaao vitini kusubiri pesa iingie mlangoni halafu unamkata mtu "cha juu".
TRA na Wizara yae ya Fedha hawana ubunifu, hawana maono kule waendako. malalmiko dhidi yao ni yae yale.
Ni ujinga kumtoza mtu(mfanyabiashara au mwekezaji) kodi ambayo ni zaidi ya mtaji wake wa jumla.
Nenda mbali zaidi kudai ni upumbavu, maana unachomwambia mtu hapo ni FUNGA BIASHARA USINIBUGUDHI!
 
Wewe utakuwa wale wale wakaao vitini kusubiri pesa iingie mlangoni halafu unamkata mtu "cha juu".
TRA na Wizara yae ya Fedha hawana ubunifu, hawana maono kule waendako. malalmiko dhidi yao ni yae yale.
Ni ujinga kumtoza mtu(mfanyabiashara au mwekezaji) kodi ambayo ni zaidi ya mtaji wake wa jumla.
Nenda mbali zaidi kudai ni upumbavu, maana unachomwambia mtu hapo ni FUNGA BIASHARA USINIBUGUDHI!
Sijui hata kama shule ulienda.

Nani amewahi kutozwa kodi ya elfu 20 wakati mtaji wake ni elfu 10?

Hivi unaelewa hata jinsi kodi inavyotozwa?
 
Kana kwamba sakata la wafanyabiashara wa Kariakoo halijatosha, nimepata tetesi kuwa sasa waekezaji wakubwa wamezilalamikia Balozi zao kuwa TRA inawabambika kodi zisizolipika na wengi wametishia kuondoa uwekezaji wao.

Huu inaelekea ni mwendelezo wa malalamiko ya wafanyabiashara wa Kariakoo, na sababu zilizopelekea kufunga maduka ni hizo hizo.

Inaelekea Mama Samia mno amewaachia Wizara ya Fedha na TRA na wo wanafanya madudu wapendavyo.
Sehemu hii Mama tunahitaji mkeka mpya.

NB
Nimepata hii barua inbox
Ngunguli vs Ngangali battle!!
Hatari na nusu!!
 
Kana kwamba sakata la wafanyabiashara wa Kariakoo halijatosha, nimepata tetesi kuwa sasa waekezaji wakubwa wamezilalamikia Balozi zao kuwa TRA inawabambika kodi zisizolipika na wengi wametishia kuondoa uwekezaji wao.

Huu inaelekea ni mwendelezo wa malalamiko ya wafanyabiashara wa Kariakoo, na sababu zilizopelekea kufunga maduka ni hizo hizo.

Inaelekea Mama Samia mno amewaachia Wizara ya Fedha na TRA na wo wanafanya madudu wapendavyo.
Sehemu hii Mama tunahitaji mkeka mpya.

NB
Nimepata hii barua inbox
 

Attachments

  • VID-20240629-WA0008.mp4
    2.8 MB
Sijui hata kama shule ulienda.

Nani amewahi kutozwa kodi ya elfu 20 wakati mtaji wake ni elfu 10?

Hivi unaelewa hata jinsi kodi inavyotozwa?
Tatizo kubwa la ninyi mnaosugua viti maofisini kwa makalio, hamjui kuwa wafanyabiashara hata kama hawakwenda shule they are smarter than you are.
Mtu anapigwa fine ya 15million kwa kutokuwa na risiti hapo kuna mambo mawili, aidha funga biashara au tuongee pembeni.
Hizo ndio sheria za kijinga jinga mnazitetea.
 
Wewe utakuwa wale wale wakaao vitini kusubiri pesa iingie mlangoni halafu unamkata mtu "cha juu".
TRA na Wizara yae ya Fedha hawana ubunifu, hawana maono kule waendako. malalmiko dhidi yao ni yae yale.
Ni ujinga kumtoza mtu(mfanyabiashara au mwekezaji) kodi ambayo ni zaidi ya mtaji wake wa jumla.
Nenda mbali zaidi kudai ni upumbavu, maana unachomwambia mtu hapo ni FUNGA BIASHARA USINIBUGUDHI!
Wanajua kukusanya zaidi, kuliko kuwezesha kutengeneza fedha Ili iwe halali kwao kukusanya...Hii ni tabia ya watendaji wote Tanzania
 
Back
Top Bottom