sidhani kama Bambo amekurupuka kwenda kulisema hili ktk radio tena live, maana huenda alishapeleka taarifa kwa uongizi husika kilio chake hakikusikilizwa, maana mpaka mtu mzima unajitokeza hadharani basi mambo yamebana kweli, so tujitahidi kumsaidia mwenzetu, lakini hata umoja wa wasanii nao wamekosa fungu la kumtoa mwenzao Muhimbili? au wameshindwa kuchangishana hela kumtoa mwenzao hospital? ok Mr. Bambo tupe A/C # yako au ur phone # lakini uwe ni wewe kweli siyo tunakupigia simu harafu anapokea msaidizi tena hatutatoa hela, maana Bongo hii kuna namna nyingi za kujitafutia kipato,