Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nampenda Bambo...ingekua ndani ya uwezo wangu ningemsaidia!
Hivi yuko wapi siku hizi huyu Bishanga?Duuuh! kweli kama ni fani muulize BISHANGA BISHAIJAsanaa ya bongo kwa wasanii haina faida!!!!!
Leo asubuhi alikuwa live kwenye east africa radio,akihojiwa na zembwela.
Alsema muhimbili wamemzuia kutoka hospitali kwa sababu anadaiwa hela
nyingi kwa ajili ya oparesheni ya mguu.kwa hiyo anaomba jamii kumsaidia.
Mimi nilidhani ni mwajiriwa wa etv au nipo wrong?