BAMBURI CEMENT YA KENYA YANUNULIWA NA MTANZANIA.

BAMBURI CEMENT YA KENYA YANUNULIWA NA MTANZANIA.

Bongo huenda tuna watu wenye hela nyingi kuzidi hawa mabilionea wetu wanaoshinda kwenye vioo na camera.

Sahii kabisa mkuu, pesa Haina kelele.

Imagine:
Mtu anatoa zaid ya bil 400+ cash ili TU kununua Shea 96% za kiwanda, Kimya bila Kelele.

Ila Kuna mwngn bil. 20 TU kuchangia 49% ya Shea,anatuonesha tu bango la cheki alilochora Kwa coral Paints.

Anaulizwa statement account alikoingiza pesa ananuna wiki nzima,

analalamika kelele mji mzima anahujumiwa, wakimkazia anarudisha Hadi historia nyuma wakumbuke alikowatoa.

Yaani mpk anatishia kabisa kususa.

Kweli Kuna bilionea pale kweli?
 
Sahii kabisa mkuu, pesa Haina kelele.

Imagine:
Mtu anatoa zaid ya bil 400+ cash ili TU kununua Shea 96% za kiwanda, Kimya bila Kelele.

Ila Kuna mwngn bil. 20 TU kuchangia 49% ya Shea,anatuonesha tu bango la cheki alilochora Kwa coral Paints.

Anaulizwa statement account alikoingiza pesa ananuna wiki nzima,

analalamika kelele mji mzima anahujumiwa, wakimkazia anarudisha Hadi historia nyuma wakumbuke alikowatoa.

Yaani mpk anatishia kabisa kususa.

Kweli Kuna bilionea pale kweli?
Ndiyo maana huwa sina imani na mabilionea wa urithi
 
Ok to the point inafaidishaje watz wenzake
Atawaajiri
Atafungua kingine bongo
Tuseme na faida zake kuwa mtz haitoshi
Maana hata elon mushi katokea S.A lakini yupo kwa trampo
 
Huyo Edhah Abdallah ni nani hapa nchini Tanganyika?, kumbe tuna mabilionea wengi wa Tshs kuliko wale tuliozoea kuwasikia
Ni Mfanyabiashara Mzoefu kutoka familia ya Oilcom sasa hivi yeye anamiliki Vituo vya Mafuta Camel Oil na Kiwanda cha Saruji hapa nchini chenye Chapa ya Camel Cemnt.
Tumpongeze kwa hatua kubwa hii.!
 
  • Thanks
Reactions: K11
Huenda pia, maana mafisadi hawana pa kuficha pesa zao za wizi zaid ya kuomba shea background.

awamu ya magufuli hayakuepo kbs haya mambo.
Hii ni myth Mkuu, kipindi cha Magu masikini walizidi kuwa masikini na Matajiri wakazidi kuwa matajiri.

Chukulia mfano Gsm alikua ni nani wakati wa Mkapa na Kikwete? Tajiri wa Kawaida tu ila wakati wa Magu ghafla bin Vuu Kawa tajiri mkubwa, Same kwa Metl walikua na pesa ila kawaida ila wakati wa Magu ghafla Waka triple ama zaidi Utajiri wao.

Ni sera tu hizi mkuu, ukifungua uchumi ni rahisi mtu wa kawaida kuwa tajiri na ukibana uchumi mtu wa kawaida hawezi pambana na aliye nacho hivyo wenye nacho wa nazidi kuwa matajiri sababu wanakuwa monopoly.
 
Back
Top Bottom