Kalpana JF-Expert Member Joined Jun 16, 2017 Posts 32,603 Reaction score 62,269 Apr 27, 2023 #21 Interlacustrine R said: Haha...haya bhana, ila Kalpana ulianzaje kushabikia timu la washamba Simba badala ya Yanga, hujui utaulizwa na aliyekujalia neema za u-pisi kali kwanini ulitumia vibaya akili? Click to expand... Mkuu nimezaliwa mama Simba baba Simba unategemea nini? Simba iko damuni..and am proud to be Simba girl
Interlacustrine R said: Haha...haya bhana, ila Kalpana ulianzaje kushabikia timu la washamba Simba badala ya Yanga, hujui utaulizwa na aliyekujalia neema za u-pisi kali kwanini ulitumia vibaya akili? Click to expand... Mkuu nimezaliwa mama Simba baba Simba unategemea nini? Simba iko damuni..and am proud to be Simba girl
Interlacustrine R JF-Expert Member Joined Jan 22, 2022 Posts 7,186 Reaction score 14,274 Apr 27, 2023 #22 Kalpana said: Mkuu nimezaliwa mama Simba baba Simba unategemea nini? Simba iko damuni..and am proud to be Simba girl Click to expand... Sina cha kuongeza, ila nitajitahidi kukubembeleze taratiiibu uhame Simba hadi uje Yanga hata kama ni kishingo upande Mama...[emoji142] Huoni ni janga kwenu wote siku Simba ikifungwa [emoji848]
Kalpana said: Mkuu nimezaliwa mama Simba baba Simba unategemea nini? Simba iko damuni..and am proud to be Simba girl Click to expand... Sina cha kuongeza, ila nitajitahidi kukubembeleze taratiiibu uhame Simba hadi uje Yanga hata kama ni kishingo upande Mama...[emoji142] Huoni ni janga kwenu wote siku Simba ikifungwa [emoji848]
Kalpana JF-Expert Member Joined Jun 16, 2017 Posts 32,603 Reaction score 62,269 Apr 27, 2023 #23 Interlacustrine R said: Sina cha kuongeza, ila nitajitahidi kukubembeleze taratiiibu uhame Simba hadi uje Yanga hata kama ni kishingo upande Mama...[emoji142] Huoni ni janga kwenu wote siku Simba ikifungwa [emoji848] Click to expand... Hahaha kila mtu anapambana na hali yake..halafu wazee kwa sasa hawana time kivilee.
Interlacustrine R said: Sina cha kuongeza, ila nitajitahidi kukubembeleze taratiiibu uhame Simba hadi uje Yanga hata kama ni kishingo upande Mama...[emoji142] Huoni ni janga kwenu wote siku Simba ikifungwa [emoji848] Click to expand... Hahaha kila mtu anapambana na hali yake..halafu wazee kwa sasa hawana time kivilee.
Interlacustrine R JF-Expert Member Joined Jan 22, 2022 Posts 7,186 Reaction score 14,274 Apr 27, 2023 #24 Kalpana said: Hahaha kila mtu anapambana na hali yake..halafu wazee kwa sasa hawana time kivilee. Click to expand... Huwa mnanuniana tu wala hakuna wa kumpa mwenziye pole? Basi nikuombe kwa heshima na taadhima uwe Yanga ili siku Simba wakifungwa uwe mfariji kwa Wazazi wetu, au siyo Mama?
Kalpana said: Hahaha kila mtu anapambana na hali yake..halafu wazee kwa sasa hawana time kivilee. Click to expand... Huwa mnanuniana tu wala hakuna wa kumpa mwenziye pole? Basi nikuombe kwa heshima na taadhima uwe Yanga ili siku Simba wakifungwa uwe mfariji kwa Wazazi wetu, au siyo Mama?