Dr. Zaganza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 1,414
- 2,181
Je, umekuwa ukitumia pesa nyingi kwa mkaa? Au umekuwa ukipika kwa muda mrefu?
Kama jibu ni ndiyo, sisi mkaa wa kisasa supplies tumekuletea ufumbuzi kwa kuja na technolojia mpya.
Inayotumia malighafi kama vifuu vya nazi,maranda ya mbao na makumbi ya nazi pasi na kukata miti, kutengeneza mkaa wenye joto lisiloathiri sufuria na linalokaa kwa muda mrefu ukifananisha na mikaa mingine.
Mkaa huu pia ni bei nafuu ambapo kilo moja huuzwa tzs 1,000/- (elfu moja) kwa bei ya reja reja na tzs 700 kwa mteja wa jumla kuanzia kilo 20. Utaletewa mpaka ulipo.
Kumbuka, Endapo mkaa huu haujatatua matatizo tajwa hapa juu, turudishie uliobaki ,nasi tutakurudishia pesa yako kwa ukamilifu.
Kwa maelezo au mahitaji ya mkaa huu, wasiliana na:
0713-039875
Mussa,
Technical Consultant,
Mkaa wa Kisasa Supplies,
Kama jibu ni ndiyo, sisi mkaa wa kisasa supplies tumekuletea ufumbuzi kwa kuja na technolojia mpya.
Inayotumia malighafi kama vifuu vya nazi,maranda ya mbao na makumbi ya nazi pasi na kukata miti, kutengeneza mkaa wenye joto lisiloathiri sufuria na linalokaa kwa muda mrefu ukifananisha na mikaa mingine.
Mkaa huu pia ni bei nafuu ambapo kilo moja huuzwa tzs 1,000/- (elfu moja) kwa bei ya reja reja na tzs 700 kwa mteja wa jumla kuanzia kilo 20. Utaletewa mpaka ulipo.
Kumbuka, Endapo mkaa huu haujatatua matatizo tajwa hapa juu, turudishie uliobaki ,nasi tutakurudishia pesa yako kwa ukamilifu.
Kwa maelezo au mahitaji ya mkaa huu, wasiliana na:
0713-039875
Mussa,
Technical Consultant,
Mkaa wa Kisasa Supplies,